Imewekwa kwenye: February 5th, 2025
Jamii imetakiwa kuendelea kupokea miradi inayotolewa na serikali na kuunga mkono juhudi hizo kwakujitoa nguvu kazi zao katika kusaidia miradi hiyo kukamilika kwa wakati na kuleta tija katika jamii.
...
Imewekwa kwenye: January 22nd, 2025
Mkuu wa Wilaya ya Mkalama Mhe. Moses Machali amewataka Wenyeviti wa Vijiji wilayani hapa kufanya kazi kwa weledi pamoja na kuhakikisha wanahamasisha wazazi wenye watoto wenye sifa wanawapeleka shule.
...
Imewekwa kwenye: December 16th, 2024
Mkuu wa Wilaya ya Mkalama Mhe. Moses Machali ametoa rai kwa wakulima wilayani Mkalama kujisajili katika mfumo ili waweze kupata mbegu na mbolea za ruzuku
Kauli hiyo ameitoa Desemba 16, 2024 kat...