• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

DAS SULLE AWATAKA WAKULIMA KULIMA KISASA KWA KUFUATA MAELEKEZO YA WATALAAMU

Imewekwa kwenye: November 18th, 2025


Na Pius Maganga

Katibu Tawala Wilaya ya Mkalama, Bi. Happyness Sulle, amewataka wananchi wa wilaya hapa kuzingatia matumizi ya teknolojia na ushauri wa kitaalamu katika shughuli za kilimo ili kuongeza uzalishaji na tija uzalishaji mazao

Bi. Sulle alitoa wito huo kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Mkalama wakati akizungumza na wakulima katika kongamano la ufunguzi wa msimu wa kilimo 2025/26 lililofanyika tarehe 18-11-2025 katika Kijiji cha Maziliga wilayani hapa.

“Katika msimu huu wa 2025/2026 tuzingatie teknolojia zinazoshauriwa na wataalamu wa kilimo. Ndiyo maana Rais Samia Suluhu Hassan amehakikisha Maafisa Ugani wanapatikana hadi kwenye kata ili usihangaike kwenda wilayani kutafuta huduma. Huduma zimeletwa hadi mlangoni, ni juu yako mkulima kuitumia,” alisema Bi. Happiness.

Aidha, aliwataka Maafisa Ugani kutekeleza majukumu yao kikamilifu, ikiwemo kuitisha vikao, kutoa elimu, na kusimamia kikamilifu shughuli za kilimo na ufugaji katika maeneo yao.

Akihitimisha hotuba yake, Bi. Happyness ameipongeza Idara ya Kilimo, Mifugo  na Uvuvi ya Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama kwa kazi nzuri wanayoifanya, ikiwemo utekelezaji wa chanjo kwa mifugo na kuwataka wananchi kuhakikisha wanatoa mifugo yao kwa ajili ya chanjo.

Hafla hiyo ya uzinduzi imehudhuriwa na wananchi kutoka maeneo mbalimbali ya wilaya, ambapo wameshiriki kupata elimu kupitia mabanda ya maonyesho kuhusu kilimo cha kisasa, afya ya udongo, matumizi ya mbegu bora, pamoja na ushauri wa njia stahiki za kuongeza tija katika kilimo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • DAS SULLE AWATAKA WAKULIMA KULIMA KISASA KWA KUFUATA MAELEKEZO YA WATALAAMU

    November 18, 2025
  • MAAFISA MAENDELEO YA JAMII MKALAMA WATOA ELIMU KWA WANAFUNZI WA KIKE KUHUSU AFYA YA UZAZI NA HAKI ZAO

    October 13, 2025
  • MGANGA MKUU WA MKOA WA SINGIDA (RMO) ATEMBELEA HOSPITALI YA WILAYA YA MKALAMA KUKAGUA ZOEZI LA MADAKTARI BINGWA

    October 06, 2025
  • MKURUGENZI MKALAMA AWASHAURI VIJANA KUTUMIA MKOPO VIZURI

    September 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • eMrejesho -Tuma Malalamiko, Maoni au Pongezi
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA, 18 MASAKA RD, 43582

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964005

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@mkalamadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.