Imewekwa kwenye: April 25th, 2024
Mkuu wa wilaya ya Mkalama Mhe. Moses Machali ametoa muda mwezi mmoja kwa watendaji wa vijiji, kata na walimu wakuu wa shule kuhakikisha wanatatua changamoto ya uhaba wa madawati.
Kauli hiy...
Imewekwa kwenye: April 24th, 2024
Mkuu wa wilaya ya Mkalama Mhe.Moses Machali ameendelea na ziara ya kikazi ya kusikiliza na kutatua kero kwa wananchi wa vijiji vya Senene na Lukomo kata ya Iguguno wilayani Mkalama.
Akizungumza kwa...
Imewekwa kwenye: April 20th, 2024
Mkuu wa wilaya ya Mkalama amefanya ziara ya kikazi katika vijiji vya Mkiko na Mpambala kata ya Mpambala wilayani Mkalama kwa ajili ya kusikiliza na kutatua kero mbalimbali zinazowakambili wananchi wa ...