• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

MKUU WA WILAYA AZUNGUMZA NA MAKUNDI MBALIMBALI

Imewekwa kwenye: December 1st, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Mkalama, Mhe. Moses Machali, leo Desemba 1, 2025 amekutana na kuzungumza na Mama Lishe pamoja na Maafisa Usafirishaji (maarufu kama Bodaboda) wa wilayani hapa katika kikao kilichofanyika kwenye ukumbi wa mikutano ulipo Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Mkalama.

Akizungumza katika kikao hicho, Mhe. Machali amewataka Mama Lishe na Maafisa Usafirishaji kuwa mstari wa mbele katika kulinda amani ya nchi kuelekea maadhimisho ya siku ya Uhuru wa Tanganyika, yanayofanyika Desemba 9 2025.

“Amani ikipotea gharama ya kuirejesha ni kubwa sana. Tujiepushe na vitendo vyovyote vinavyoweza kusababisha machafuko,” amesema Mhe. Machali

Aidha Mhe. Machali amesisitiza umuhimu wa kutoa taarifa mapema pale wanaposikia watu wakipanga vurugu au kuhamasisha uvunjifu wa amani.

Vilevile Mhe. Machali amesema kuwa serikali serikali haitasita kuchukua hatua dhidi ya mtu yeyote au kundi lolote litakalojaribu kuleta vurugu katika wilaya ya Mkalama na amesisitiza kuwa  matatizo hayatatuliwi kuanzisha tatizo jingine, bali kupitia mazungumzo, umoja na kuheshimu sheria

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MKUU WA WILAYA AZUNGUMZA NA MAKUNDI MBALIMBALI

    December 01, 2025
  • WANAWAKE MKALAMA WAHIMIZWA KUSIMAMIA MALEZI YA WATOTO

    November 29, 2025
  • WANAWAKE MKALAMA WAHIMIZWA KUSIMAMIA MALEZI YA WATOTO

    November 29, 2025
  • ZIARA YA KATIBU TAWALA MKOA WA SINGIDA WILAYANI MKALAMA

    November 28, 2025
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • eMrejesho -Tuma Malalamiko, Maoni au Pongezi
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA, 18 MASAKA RD, 43582

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964005

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@mkalamadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.