• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Wilaya ya Mkalama kuadhimisha kilele cha kichaa cha Mbwa.

Imewekwa kwenye: September 30th, 2022

Katika kuadhimisha Kilele cha Kichaa cha Mbwa Duniani (World Robbies Day) Wizara ya Mifugo na uvuvi  kushirikiana na Taasisi isiyo ya Kiserikali Education for African  Animals  Walfare(EAAW)    imetoa  chanjo ya Mbwa  wapatao 432 wilayani Mkalama.

Chanjo hiyo imetolewa  katika  Vijiji vya Yulansoni , Msingi pamoja na  Maziliga  wilayani Mkalama Mkoa wa Singida.

Akiongea katika zoezi  hilo Afisa  Mifugo wilaya ya Mkalama Elias Mbwambo amesema kuwa  zoezi hili ni kutekeleza takwa la Kisheria  chini ya sheria  Na. 17 ya mwaka 2003 ya udhibiti wa magonjwa ya  wanyama na sheria  Na.19 ya 2008 ya haki na ustawi wa Wanyama rafiki.

Aidha Mbwambo aliongeza kwa kuwataka wananchi kuzingatia zoezi hili adhimu pindi linapokuja kwao  kwani  chanjo  inatolewa  bure na itawakinga wanyama  na ugonjwa wa kichaa cha Mbwa unaopelekea kupoteza wanyama na kutumia gharama nyingi pindi Mbwa wanapong’ata watu kutokana na matibabu kuwa ghali.

Mkurugenzi wa shirika la  Education for African Animals Walfare Ayubu  Nnko amesema   toka mwaka 2019 wamekuwa wakishirikiana na Wilaya ya Mkalama katika kutokomeza ugonjwa wa kichaa cha Mbwa  ambao awali ulikuwatishio kubwa ukilinganisha na sasa .

Aidha alitumia fursa hiyo kuwataka wadau wa maendeleo  wilayani  Mkalama kushirikiana na Idara ya mifugo na uvuvi kujitokeza  kuwekeza kwenye Wanyama kwani nao wanahaki ya kuishi na kuhudumiwa kama vile kupatiwa chanjo na mahali salama pa kuishi.

Baadhi ya wafugaji wameishukuru serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi kutoa dozi 500 za chanjo ya Mbwa na kuongeza kuwa chanjo hiyo itawasidia wanyama wao kuwa salama kwani wanawasaidia katika ulinzi pindi wanyama waharibifu  na  wezi wanapoenda kuiba.

’’Mbwa ni  wanyama rafiki  maana wanatusaidia kwenye ulinzi  tunaishukuru serikali kuona umuhimu wa wanyama wetu na kutuletea chanjo ya kutibu kichaa cha Mbwa , nashauri watu wengine ambao hawajawaleta  Mbwa  walete wapatiwe chanjo’’ alisema Isron Japhet

Kilele cha Kichaa cha Mbwa huadhimishwa kiala ifikapo Septemba 28 kila mwaka.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA MKALAMA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI

    April 24, 2025
  • WANAWAKE MKALAMA WAHIMIZWA KUGOMBEA NAFASI ZA UONGOZI

    March 06, 2025
  • DC MACHALI ATOA WITO WATU WA AFYA MKALAMA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    February 19, 2025
  • SEMINA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU WILAYANI MKALAMA

    February 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • eMrejesho -Tuma Malalamiko, Maoni au Pongezi
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA, 18 MASAKA RD, 43582

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964005

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@mkalamadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.