• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

MGANGA MKUU WA MKOA WA SINGIDA (RMO) ATEMBELEA HOSPITALI YA WILAYA YA MKALAMA KUKAGUA ZOEZI LA MADAKTARI BINGWA

Imewekwa kwenye: October 6th, 2025

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dkt. Victorina Ludovick, amefanya ziara katika Hospitali ya Wilaya ya Mkalama kukagua zoezi la utoaji wa huduma za kibingwa zinazotolewa na madaktari bingwa wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan wilayani hapa.

Akizungumza wakati wa ziara hiyo, Dkt. Ludovick amewapongeza madaktari bingwa hao kwa kazi nzuri wanayoifanya na kuwataka wananchi wa Wilaya ya Mkalama pamoja na wilaya jirani kujitokeza kwa wingi kuchangamkia huduma hizo za kibingwa.

Aidha, Dkt. Ludovick ameishukuru Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa jitihada zake za kuhakikisha wananchi wanapata huduma za kibingwa karibu na maeneo yao, hatua inayosaidia kupunguza gharama na muda wa kufuata huduma hizo katika hospitali za mbali.

Katika ziara hiyo, Dkt. Victorina Ludovick aliambatana na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama, wataalamu mbalimbali kutoka ofisi ya Mkoa wa Singida pamoja na watumishi wa Hospitali ya Wilaya ya Mkalama.

Zoezi hilo la madaktari bingwa linaendelea kuanzia tarehe 6 hadi 10 Oktoba, 2025, likihusisha utoaji wa huduma za matibabu pamoja na mafunzo kwa watumishi wa Hospitali ya Wilaya ya Mkalama.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MGANGA MKUU WA MKOA WA SINGIDA (RMO) ATEMBELEA HOSPITALI YA WILAYA YA MKALAMA KUKAGUA ZOEZI LA MADAKTARI BINGWA

    October 06, 2025
  • MKURUGENZI MKALAMA AWASHAURI VIJANA KUTUMIA MKOPO VIZURI

    September 25, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA LISHE ROBO YA NNE – WILAYA YA MKALAMA 2025

    September 03, 2025
  • KONGAMANO LA HUDUMA ZA KIFEDHA WILAYANI MKALAMA

    August 19, 2025
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • eMrejesho -Tuma Malalamiko, Maoni au Pongezi
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA, 18 MASAKA RD, 43582

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964005

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@mkalamadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.