• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Wajumbe wa Sensa Wilaya ya Mkalama kuhamasisha Wananchi na vijana wenye sifa kuomba nafasi za ajira za muda za kusimamia zoezi la Sensa ya watu na Makazi inayotarajiwa kufanyika tar 23 mwezi Agosti Mwaka huu.

Imewekwa kwenye: May 10th, 2022

Watendaji wa kata pamoja na wajumbe wote wa sensa ya watu na Makazi wilayani Mkalama wametakiwa kuihamasisha jamii pamoja na vijana wenye sifa za kutuma maombi ya ajira za muda kwaajili ya zoezi la Sensa ya watu na Makazi linatarajiwa kufanyika tar 23 mwezi Agosti Mwaka huu.


Mkuu wa wilaya ya Mkalama Mhe.Sophia Kizigo amesema hayo katika kikao kazi  cha kwanza cha wajumbe  wa kamati ya sensa ya watu na Makazi wilayani Mkalama kilichofanyika Katika ukumbi wa Sheketela uliopo halmashauri ya wilaya ya Mkalama.


Aidha Mhe. Kizigo ameongeza kuwa Kila mtu akisimama kwa nafasi yake kuhamasisha zoezi la Sensa itapelekea  Serikali kupata idadi kamili ya Wananchi na kusaidia kupanga bajeti sahihi ya Nchi katika suala la Elimu, afya, Maji  pamoja na mambo mengine.


Awali akimkaribisha Mkuu wa wilaya, Mratibu wa Sensa Wilaya ya Mkalama  Bw.Daniel Tesha alieleza shughuli zinazoendelea Kwa Sasa kuwa ni kuendelea kutoa elimu ya hamasa Kwa wananchi Ili washiriki zoezi la Sensa Kwa kamati za sensa pamoja na kuratibu zoezi la kuwapata makarani na wasimamizi wa sensa Kwa Mwaka 2022..


Tanzania imekua ikifanya sensa Kila baada ya miaka 10 na Kwa Mwaka huu inatarajia kufanya Sensa Agosti 23 ambapo itakua ni sensa ya sita (6) tangu uhuru na zoezi hili linafanyika ikiwa ni utekelezaji wa sheria ya Takwimu sura ya 351.


Kauli mbiu ya mwaka huu ni "SENSA KWA MAENDELEO JIANDAE KUHESABIWA".

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YAKABIDHI KADI ZA MATIBABU BURE KWA WAZEE MKALAMA

    June 15, 2025
  • SIKU YA MTOTO WA AFRIKA WILAYANI MKALAMA

    June 16, 2025
  • Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mkalama Apongeza Ujenzi wa Zahanati ya Nkenke

    June 13, 2025
  • ZIARA YA KAMATI YA SIASA MKOA WA SINGIDA

    June 11, 2025
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • eMrejesho -Tuma Malalamiko, Maoni au Pongezi
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA, 18 MASAKA RD, 43582

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964005

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@mkalamadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.