• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Wahitimu wa mafunzo ya Jeshi la Akiba wametakiwa kutumia mafunzo waliyopata kuimarisha ulinzi na usalama katika jamii inayowazunguka.

Imewekwa kwenye: November 11th, 2021

Mkuu wa wilaya ya Mkalama Mhe.Sophia Kizigo amewapongeza wahitimu wa mafunzo ya jeshi la Akiba kwa kuhitimu mafunzo yao yaliyoanza August 9 mwaka huu huku akiwataka kuwa mfano wakuingwa na jamii kwakuonyesha uzalendo na uwajibikaji kwa kufanya kazi za uzalishaji mali ili kuongeza pato lao,jamii na wilaya kwaujumla.


Ameyasema hayo leo November 11, 2021 wakati wa hafla fupi yakufunga mafunzo ya jeshi la akiba yaliyofanyika Kijiji cha Kinyangiri Kata ya Kinyangiri wilaya ya Mkalama Mkoani Singida.


Aidha Mhe.Kizigo amewataka wahitimu kuwa chachu kwa wengine  kwakuonyesha uzalendo wa kweli kwa maslahi mapana ya Nchi pia  wakatumie elimu waliyopata  kwa kupambana na madawa ya kulevya na rushwa.


Katika hatua nyingine  amewataka kujiunga na vikundi ili wapate mikopo itakayowasaidia kufanya kazi  za uzalishaji mali ambapo amesema kuwa serikali itawapa kipau mbele kwenye shughuli za serikali pindi zinapotokea .


“niwapongeze sana vijana kwanza kwa kuvumilia na leo mmehitimu mafunzo yenu ya jeshi la akiba, natumai sasa mmeshakua ndugu hivyo umoja wenu ukaimarike kwa kujiunga na vikundi ili serikali iwape mikopo kwaajili ya shughuli za uzalishaji na serikali itawapa kipaumbele kwenye shughuli mbalimbali kwani tayari nyie mnajua nini maana ya uzalendo katumieni mafunzo yenu vizuri kwakuisaidia jamii kwenye ulinzi  na usalama katika kupambana na uhalifu’’.Ameongeza Dc Kizigo.


Afisa Mteule Daraja la pili Tobias Kahemele amewapongeza Vijana waliomaliza mafunzo salama ambapo kwa ujumla wao  ni 51 wakiume wakiwa 41 na wakike 4 huku akitaja  baadhi ya changamoto kwa wanafunzi walioshindwa kumaliza mafunzo kuwa ni utoro pamoja na wazazi kutojua umuhimu wa mafunzo hayo  kwakuwashawishi vijana wao wasijiunge na mafunzo ambapo ameiomba serikali kutunga sheria ya kuwawajibisha wanaoacha mafunzo .


Akisoma Risala kwa Mgeni rasmi miongoni mwa wahitimu wa mafunzo  hayo Shabani Mohamed amesema kwa muda wa miezi minne wamejifunza uzalendo kwa Nchi,nidhamu,utiifu pamoja na kushiriki  kazi za kijamii katika shule ya Msingi Kinyangiri , kupata elimu ya mapambano ya dawa za kulevya ,rushwa  pamoja na usalama wa raia huku wakiiomba serikali kuwapa nafasi za kwanza katika shughuli mbali ikiwa ni pamoja na ulinzi kwenye makampuni, kusimamia mitihani pamoja na kujiiunga na jeshi la kujenga Taifa(JKT) pindi nafasi zinapopatikana.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA MKALAMA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI

    April 24, 2025
  • WANAWAKE MKALAMA WAHIMIZWA KUGOMBEA NAFASI ZA UONGOZI

    March 06, 2025
  • DC MACHALI ATOA WITO WATU WA AFYA MKALAMA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    February 19, 2025
  • SEMINA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU WILAYANI MKALAMA

    February 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • eMrejesho -Tuma Malalamiko, Maoni au Pongezi
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA, 18 MASAKA RD, 43582

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964005

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@mkalamadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.