• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

MAFUNZO KWA WAGANGA WAFAWIDHI NA WALIMU KUHUSU MAGOJWA YASIYOPEWA KIPAUMBELE

Imewekwa kwenye: February 2nd, 2026

Mganga Mkuu wa Wilaya ya Mkalama, Dkt. Solomon Michael, ameongoza mafunzo maalum kuhusu magonjwa yasiyopewa kipaumbele, yakiwemo minyoo, kichocho, ngiri na busha, kwa waganga wafawidhi na walimu wa afya. Mafunzo hayo yamefanyika leo Februari 2, 2026, katika ukumbi wa mikutano uliopo Hospitali ya Wilaya ya Mkalama.

Akizungumza wakati wa mafunzo hayo, Dkt. Solomon amesisitiza umuhimu wa zoezi la chanjo kwa watoto wa shule za msingi, akieleza kuwa chanjo hizo husaidia kuwalinda dhidi ya magonjwa hayo na kuchangia afya njema pamoja na kuongeza ufanisi wao katika masomo.

Aidha, amewatoa hofu wazazi kwa kufafanua kuwa dawa zinazotumika katika zoezi hilo ni salama na hazina madhara. Ameeleza kuwa lengo la zoezi hilo ni kuzuia maambukizi ya minyoo na kichocho kwa watoto, na hivyo amewahimiza wazazi kutowazuia watoto wao kuhudhuria shule siku za zoezi la chanjo, linalotarajiwa kufanyika Jumatano tarehe 4 Februari 2026 na Alhamisi tarehe 5 Februari 2026.

Kwa upande mwingine, Dkt. Solomon amewashukuru walimu kwa kujitokeza kwa wingi kushiriki mafunzo hayo na kuwataka kuzingatia kikamilifu maelekezo yote waliyopatiwa, yakiwemo vigezo vya umri wa mtoto anayestahili kupata chanjo—ambapo ni kuanzia miaka mitano—pamoja na kuzingatia urefu wa mtoto kulingana na miongozo ya Wizara ya Afya.

Mafunzo hayo yamelenga kuwajengea uelewa walimu wa afya kutoka shule zote za msingi pamoja na waganga wafawidhi wa vituo vya afya na zahanati juu ya utekelezaji bora wa zoezi la chanjo ya minyoo na kichocho kwa watoto wa shule za msingi katika Wilaya ya Mkalama.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MAFUNZO KWA WAGANGA WAFAWIDHI NA WALIMU KUHUSU MAGOJWA YASIYOPEWA KIPAUMBELE

    February 02, 2026
  • DC MACHALI AUNGANISHA WADAU WA ELIMU KUIMARISHA MAHUDHURIO YA WANAFUNZI

    January 27, 2026
  • ZIARA YA MAAFISA WA CHUO CHA TAIFA CHA ULINZI WILAYANI MKALAMA

    January 20, 2026
  • ZIARA YA NAIBU WAZIRI TAMISEMI WILAYANI MKALAMA

    January 04, 2026
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • eMrejesho -Tuma Malalamiko, Maoni au Pongezi
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA, 18 MASAKA RD, 43582

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964005

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@mkalamadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.