• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Viongozi kuwasikiliza na kutatua kero za Wananchi wilayani Mkalama

Imewekwa kwenye: June 29th, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Singida Dr Binilith Mahenge amewataka viongozi  kuwasikliza  Wananchi na kutatua kero zao  kwani wapo kwaajili ya kutumika  na sio kutumikiwa.


Amesema hayo leo wakati wa ziara yake ya kusikiliza na kutatua kero za wananchi wilayani Mkalama katika Kata ya Iguguno kijiji cha Iguguno Wilaya ya Mkalama Mkoa wa Singida


‘’viongozi nikuhakikisha mnapokea  kero za wananchi ,viongozi ni lazima muwe wanyenyekevu  kwa wananchi wenu sio  mwananchi  anakuja kama Yule mzee pale mnakua hamwasikilizi inakua sio jambo jema’’ alisema  RC MAHENGE.


Rc  Mahenge amesema kuwa pamoja na kusikiliza kero za wananchi  katika ziara yake pia alitaka kuwafahamisha wananchi wa wilaya ya Mkalama  namna serikali inavyotoa fedha kwaajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo kwenye Sekta ya Elimu, Afya , Maji, Umeme pamoja na barabara na kusema ni jambo la kujivunia kwa mwaka mmoja wa serikali ya awamu ya Sita kufanya mambo makubwa ndani  ya wilaya na Mkoa kwa ujumla.


Hata hivyo Rc Mahenge aliwatoa wasiwasi wananchi wa Kijiji cha Iguguno kuwa kero zote walizowasilisha zitafanyiwa kazi kwani katika ziara yake amekua akitembea  na wakuu wa Taasisi  na wataalamu wa Idara zote za  serikali  ambao wamekua wakijibu nakueleza  namna serikali inavyofanya kazi zake na inavyoendelea kufanya  katika maeneo yao.


Katika hatua nyingine alitumia fursa hiyo kuipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama katika ukusanyaji wa mapato ambapo Hadi kufikia Leo  June 29 Halmashauri imefanikiwa kuvuka lengo na kukusanya mapato Kwa asilimia 101 Sasa ambapo alisema hii inatokana na uimara na ushirikiano liopo kati ya Mkuu wa Wilaya, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya pamoja na wataalamu mbalimbali wilayani Mkalama .


Awali akimkaribisha Rc , Mkuu wa wilaya ya Mkalama Sophia Kizigo alisema kuwa wilaya yaMkalama imebarikiwa kuwa na Ardhi  nzuri  inayostawisha  mazao ya kila namna ikiwepo zao la Korosho ambalo lililimwa katika Kijiji cha  Gumanga kata ya Gumanga  na sasa kama wilaya  wamepata mavuno mazuri ya zao hilo hivyo kuahidi kufanyika kwa kampeni kwa wilaya nzima ili zao hilo lilimwe kote wilaya hapa.


Pamoja na hayo  Dc Kizigo aliwataka wananchi kufanya kazi kwa bidii ili kuunga mkono juhudi za serikali , pamoja na kushiriki katika zoezi la  sensa  ya watu na makazi  Agost 23 mwaka huu na kuwaahidi wananchi wa  Kata Iguguno kujiandaa kukesha na mwenge wa huru siku hiyo kwani wilaya imetambua  mchango wa wananchi hao kwenye shughuli   mbalimbali za wilaya.


 Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Mkalama Asia Messos alisema kuwa  Wilaya ya Mkalama  imepokea  kiasi cha Shilingi  Billion Tano million mia nne na nne  laki Nne na  themanini na nne elfu  mia nne sabini na tisa  katika sekta za Afya , Elimu , Maji pamoja na kujenga  nyumba  ya Mganga katika hospitali ya wilaya nakusema kukamilika kwa  nyumba hiyo  itaweza kutumiwa na familia Tatu  na kupunzuza uhaba wa nyumba za watumishi kada ya afya , huku shilingi Mil 150 ikiwa  ni kwaajili ujenzi wa nyumba ya  Mkurugenzi  wa halmashauri ya wilaya ya Mkalama.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA MKALAMA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI

    April 24, 2025
  • WANAWAKE MKALAMA WAHIMIZWA KUGOMBEA NAFASI ZA UONGOZI

    March 06, 2025
  • DC MACHALI ATOA WITO WATU WA AFYA MKALAMA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    February 19, 2025
  • SEMINA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU WILAYANI MKALAMA

    February 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • eMrejesho -Tuma Malalamiko, Maoni au Pongezi
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA, 18 MASAKA RD, 43582

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964005

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@mkalamadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.