• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Uwanja wa Kisasa kujengwa Mkalama

Imewekwa kwenye: July 12th, 2018

Habari Njema na kubwa kwako Mwananchi wa Wilaya ya Mkalama na Tanzania kwa ujumla  ni kwamba Wilaya ya Mkalama imeanza mchakato wa Ujenzi wa Uwanja wa Mpira wa Miguu utakapokuwa na uwezo wa kubeba watazamaji 45,000.

Uwanja huo bora kabisa na wa kisasa unaotarajiwa kugharimu shilingi bilioni 1.6 unajengwa katika kijiji cha Maziliga na tayari eneo hilo limeshasafishwa huku hatua ya kulisawazisha au kufanya ‘’levelling’’ kama inayojulikana kitaalam ikitarajiwa kufanyika Wiki ijayo.

Mbali na Mpira wa Miguu, uwanja huo utakuwa na viwanja vya ndani vya michezo ya Mpira wa Kikapu, Mpira wa ikono, Mpira wa Pete, Mpira wa Wavu na sehemu ya Mashindano ya riadha.

Ujenzi huo unaoratibiwa na Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilayani Mkalama chini ya Mwenyekiti wake Mhe. Mhandisi Lameck Itungi  unatarajiwa kukamilika Julai 2019 ambapo zaidi ya matofali 5000 kati ya 27,000 yanayohitajika kwa ajili ya ujenzi wa Ukuta wa Uwanja huo yameshafyatuliwa.

Kwa Mujibu wa Mhe. Itungi jumla ya mali zinazokadiriwa kuwa na  thamani ya zaidi ya Shilingi milioni 800 zimeahidiwa kutolewa  na  wadau mbalimbali ambapo kiasi kingine cha Fedha kinatarajiwa kukusanywa katika Harambee itakayofanyika septemba 9 mwaka huu.

“Mgeni rasmi katika harambee hiyo anatarajiwa kuwa Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Tulia Ackson hivyo nitumie fursa hii kuwaomba wananchi wote wa Wilaya ya Mkalama na Watanzania kwa ujumla mjitokeze kuunga Mkono jitihada hizi za dhati kwa ajili ya kuendeleza sekta ya Michezo Mkalama na Tanzania kwa ujumla” Alisihi Mhe. Itungi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YAKABIDHI KADI ZA MATIBABU BURE KWA WAZEE MKALAMA

    June 15, 2025
  • SIKU YA MTOTO WA AFRIKA WILAYANI MKALAMA

    June 16, 2025
  • Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mkalama Apongeza Ujenzi wa Zahanati ya Nkenke

    June 13, 2025
  • ZIARA YA KAMATI YA SIASA MKOA WA SINGIDA

    June 11, 2025
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • eMrejesho -Tuma Malalamiko, Maoni au Pongezi
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA, 18 MASAKA RD, 43582

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964005

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@mkalamadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.