• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Udumavu umepungua kutoka 42% hadi kufikia 32% kwa mwaka 2020 Wilaya Makalama

Imewekwa kwenye: November 2nd, 2021

Imebainika kuwa Mkataba wa lishe umesaidia kupunguza udumavu Wilayani Mkalama  kutoka 42% kwa takwimu za mwaka 2010 hadi 34% kwa takwimu  za 2015  na kutoka 34% hadi  32% kwa mwaka 2020  huku takwimu za Mkoa zikionyesha udumavu  kupungua na kufikia 29%.


Hayo yamesemwa na Bw.Abdala Njelu akimuwakilisha Mkuu wa Wilaya ya Mkalama katika kikao cha  usimamizi wa Mkataba wa Afya na Lishe katika ngazi ya Kata , Vijiji na Mtaa iliyofanyika katika ukumbi wa Sheketela uliopo Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama.


Aidha Bw. Njelu amesema kuwa kama Wilaya imekusudia  kupunguza udumavu mpaka kufikia 0% ambapo pia amewataka watendaji wa Kata, wataalamu wa afya kwakushirikiana na jamii ili kuhamasisha masuala ya lishe na vyakula vinavyoshauriwa vinayotokana na makundi yote matano ya vyakula.


Pamoja na hayo amesema kuwa malengo ya mikataba hii ni sawa na ile aliyosaini waziri wa Nchi OR TAMISEMI na Wakuu wa Mikoa yote Tanzania bara mnamo tar 19 Disemba 2017 na mikataba hiyo iliyoanza kutumika  tar 1 January 2018 ikiwa ni kufanikisha suala la kuboresha lishe na kupunguza athari za utapiamlo katika ngazi za Kata na Vijiji.


Kwa upande wake Afisa lishe Wilaya ya Mkalama Bi Eliwandisha Kinyau amesema kuwa Wamekuwa wakitoa elimu kwa wananchi kupitia siku ya Afya na lishe  na Mikutano ya hadhara kwakuelekeza namna sahihi ya kuuandaa chakula na lishe kwa watoto kwakuzingatia Makundi matano ya vyakula.


Pia ametaja vyakula vinavyoongeza damu kwa wingi  kuwa lazima vitokane na makundi matano ya vyakula  kuwa ni mboga mboga za kijani pamoja na matunda ,Madini ya chuma pia  nyama ikishauriwa kuliwa kwa kiasi huku akisisitiza watu wafanye mazoezi ili kuweka miili yao vizuri kwa kuimarisha Afya ya mwili na akili.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA MKALAMA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI

    April 24, 2025
  • WANAWAKE MKALAMA WAHIMIZWA KUGOMBEA NAFASI ZA UONGOZI

    March 06, 2025
  • DC MACHALI ATOA WITO WATU WA AFYA MKALAMA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    February 19, 2025
  • SEMINA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU WILAYANI MKALAMA

    February 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • eMrejesho -Tuma Malalamiko, Maoni au Pongezi
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA, 18 MASAKA RD, 43582

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964005

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@mkalamadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.