• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

“TUMIENI VIZURI MAFUNZO HAYA YA STADI ZA MAISHA” KAIMU DED MOHAMED ATIKI

Imewekwa kwenye: May 21st, 2024

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya wilaya ya Mkalama Ndugu Mohamed Atiki amewataka washiriki wa mafunzo ya Stadi za Maisha yanayotolewa na Shirika la Camfed Tanzania kuzingatia mafunzo hayo kwa ajili ya kuwasaidia wanafunzi kwa maisha yao ya baadae.

Wito huo ameutoa leo mapema wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya siku 2 kuanzia Mei 21-22,2024 yanayofanyika katika ukumbi wa Mkuu wa wilaya ya Mkalama na kuhudhuriwa na Maafisa Elimu Kata, Wakuu wa Shule pamoja na Walimu Walezi.


“Wito wangu kwa washiriki wote, Maafisa Elimu Kata, Wakuu wa Shule, Walimu Walezi kuhakikisha mradi huu unafanikiwa ili wapate ujuzi utakaowasaidia katika Maisha yao ya baadae,kwa kushirikiana na CAMFED tunaweza kuchochea maendeleo ya jamii zetu” Ndugu Mohamed Atiki

Kwa upande wake, Afisa Elimu Sekondari wilaya ya Mkalama, Mwl. Said Kalima amewasisitizia walimu hao kufanyia kazi mafunzo hayo yanayotolewa na CAMFED ili kuweza kuondoa tatizo la watoto wanaoacha shule.


“Ndugu zangu walimu, sisi ndio wadau wenye mradi huu, tuhakikishe tunashirikiana pamoja ili tumkomboe mtoto wa Mkalama katika suala la kushindwa kumaliza masomo yake” Afisa Elimu Sekondari,Mwl. Said Kalima

Kiongozi wa mradi wa Stadi za Maisha kutoka CAMFED, Bwana Leonard Msigwa

Awali akitambulisha mradi huo,Kiongozi wa mradi wa Stadi za Maisha kutoka CAMFED, Bwana Leonard Msigwa amewaomba washiriki wa mafunzo hayo kuupokea mradi huo kwa mikono miwili kwani umekuwa na mafanikio makubwa katika kuboresha maendeleo ya wanafunzi.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA MKALAMA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI

    April 24, 2025
  • WANAWAKE MKALAMA WAHIMIZWA KUGOMBEA NAFASI ZA UONGOZI

    March 06, 2025
  • DC MACHALI ATOA WITO WATU WA AFYA MKALAMA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    February 19, 2025
  • SEMINA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU WILAYANI MKALAMA

    February 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • eMrejesho -Tuma Malalamiko, Maoni au Pongezi
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA, 18 MASAKA RD, 43582

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964005

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@mkalamadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.