• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

POS ISHIRINI KUONGEZA KASI YA UKASANYAJI MAPATO WILAYANI MKALAMA

Imewekwa kwenye: November 11th, 2022

Mkuu wa Wilaya ya Mkalama Mhe. Sophia Kizigo amewataka wakusanya mapato kuwa waadilifu katika kazi yao ili kuongeza pato la Wilaya na sio kutumia nafasi hiyo kujinufaisha.

Amesema hayo mapema leo November 11 2022 katika hafla ya kukabidhi mashine 20 za Kielektroniki za kukusanya mapato (POS) kwa wakusanya mapato katika ukumbi wa Mkuu wa wilaya ya Mkalama.

‘’mkakusanye ushuru ili kuongeza pato la Halmashauri, naomba msitumie nafasi hii kujinufaisha. Mkiamua kufanya kazi kila mmoja atafanya kazi yake kwa weledi bila kusukumwa wala kutishwa maana aliye waajiri ninyi ni Halmashauri na wala sio mtu mwingine’’. Aliongeza Dc Kizigo.

Aidha aliwataka wakusanya mapato hao kuweka fedha Benki ndani ya masaa Ishirini na Nne (24) ili kuepuka ubadhilifu wa fedha utakaojitokeza dhidi yao.

‘’Tunawategemea katika kukusanya mapato, mwaka huu tunategemea kukusanya kiasi cha Billioni moja na Millioni Mia tano, hadi kufikia Oktoba 30 tayari tulishakusanya asilimia Thelathini na Saba (37%) tumekubaliana na Waheshimiwa Madiwani hadi kufikia tar 30 Disemba tutakuwa tumekusanya Zaidi ya 50% na wakusanyaji ndio nyie na ili kufikia hizo Asilimia hakikisheni ndani ya masaa Ishirini na nne mnaweka fedha benki ili kuepuka ushawishi wakutumia kwenye matumizi yasiyo rasmi.’’ Alisema Dc Kizigo.

 Awali akimkaribisha Mkuu wa Wilaya Afisa Mapato wa Wilaya ya Mkalama Jean Claude Gowelle alisema kuwa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama imekuwa ikikusanya mapato yake kwakutumia mashine za POS kwa kila chanzo cha mapato katika vizuizi vya ukaguzi wa mazao, ukaguzi wa Nyama pamoja na Minada.




Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA MKALAMA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI

    April 24, 2025
  • WANAWAKE MKALAMA WAHIMIZWA KUGOMBEA NAFASI ZA UONGOZI

    March 06, 2025
  • DC MACHALI ATOA WITO WATU WA AFYA MKALAMA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    February 19, 2025
  • SEMINA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU WILAYANI MKALAMA

    February 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • eMrejesho -Tuma Malalamiko, Maoni au Pongezi
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA, 18 MASAKA RD, 43582

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964005

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@mkalamadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.