• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

NOVEMBA 27,2024 TUJITOKEZE KWA WINGI KUPIGA KURA -DED ASIA

Imewekwa kwenye: September 7th, 2024

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama Bi.Asia Messos akiwa na Wakuu wa Idara, Vitengo na Taasisi za Umma, leo Septemba 6,2024 ameefanya ziara ya kikazi ya kusikiliza na kutatua kero mbalimbali zinazowakabili wananchi wa Kata za Msingi na Kinyangiri wilayani hapa


Akizungumza kwa nyakati tofauti wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika katika kata ya Kinyangiri na Msingi, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama amewataka wananchi wa kata hizo kushiriki kikamilifu katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba 27,2024.


"Mwaka huu tuna tukio kubwa muhimu kwa ajili ya maendeleo yetu, ni uchaguzi wa Serikali Za Mitaa. Nitumie nafasi hii kuwasihi  kushiriki kwa kugombea nafasi mbali mbali za uongozi pamoja kupiga kura kuwa chagua  viongozi tunaowataka, ifikapo Novemba 27,2024 kwa pamoja twende tukapige kura" Bi.Asia Messos

Akizungumzia kuhusu zoezi la uboreshaji Daftari la Kudumu la Wapiga Kura, Bi. Asia Messos amesema kuwa zoezi hilo litaanza Septemba 25,2024 kwa mkoa wa Singida na litachukua muda wa wiki moja kwa wananchi kuboresha taarifa zao pamoja na kujiandikisha kwa wale waliofikisha umri  wa miaka 18, "Kipekee naomba mjitokeze kwa wingi kuboresha taarifa zenu kwa ajili ya uchaguzi wa 2025  wa Rais,Wabunge pamoja na Madiwani"DED Asia



Aidha, Mkurugenzi Mtendaji Bi. Asia Messos, amewakumbusha wakazi wa kata hizo juu ya muhimu wa kulinda maadili, kujiepusha na vitendo vya ukatili wa kijinsia, wajawazito  kufika kliniki kwa wakati pamoja na kulinda miundimbinu ya miradi inayojengwa na serikali.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA MKALAMA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI

    April 24, 2025
  • WANAWAKE MKALAMA WAHIMIZWA KUGOMBEA NAFASI ZA UONGOZI

    March 06, 2025
  • DC MACHALI ATOA WITO WATU WA AFYA MKALAMA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    February 19, 2025
  • SEMINA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU WILAYANI MKALAMA

    February 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • eMrejesho -Tuma Malalamiko, Maoni au Pongezi
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA, 18 MASAKA RD, 43582

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964005

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@mkalamadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.