• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

MWENGE WA UHURU WAZINDUA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI MKALAMA YENYE THAMANI YA SH.BILL. 1.7

Imewekwa kwenye: September 23rd, 2023

MWENGE WA UHURU WAZINDUA MIRADI YENYE THAMANI YA SH. BILL. 1.7


Kiongozi  wa mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa Abdalah Shaibu Kaim amewataka wananchi kuitunza miundo mbinu yote iliyozinduliwa leo September 23, 2023 na mwenge wa uhuru kwa maendeleo na ustawi wa kizazi kijacho.


Ameyasema hayo mapema leo wakati akiongea na wananchi wa Wilaya ya Mkalama baada ya kutembelea, kukagua na kuzindua miradi ya maendeleo .

Mwenge umezindua miradi ya ujenzi wa shule mpya ya Nkindiko uliogharimu shilingi Mil. 493.4 wenye madarasa  16 pamoja na Jengo la utawala na matundu 20 ya vyoo, umeweka jiwe la msingi katika mradi wa maji kijiji cha Malaja kata ya Nkalakala wenye Thamani ya Tsh. Mil.565 ambapo  ukikamilija utawanufaisha wananchi wapatao 6,611,mradi wa matengenezo ya barabara ya Mwando-Mng’anda-Mwanga Km 12.39 na Ishenga Iambi uliogharimu Mil.314.9,uzinduzi wa jengo la wagonjwa wa dharura (EMD) katika hospitali ya wilaya uliogharimu Mil.300.

Sambamba na hayo Mwenge umetembelea mradi wa Vijana wa Kilimo cha Nyanya  Kikundi cha Msingi Land wenye Thamani ya Tsh. Mil 9, Kuzindua Mradi wa ujenzi wa Darasa Moja katika Shule ya Msingi Maelu Kijiji cha Kisuluiga Kata ya Gumanga ,wenye Thamani wa Tsh. Mil. 24.5, Kutembelea na  kukagua program ya  mapambano dhidi ya VVU/ UKIMWI,mapambano dhidi ya malaria,mapambano dhidi ya madawa ya kulevya, lishe na mapambano dhidi ya rushwa.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Mkalama Mh.Moses Machali alitumia nafasi hiyo kumshukuru Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha nyingi kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya Maendeleo  Wilayani Mkalama hivyo kuwataka wananchi  kuunga Mkono juhudi za Serikali ya  awamu ya Sita kwa kuilinda miradi iliyozinduliwa na Mwenge wa Uhuru 2023.


Kauli mbiu ya Mbio ya Mwenge wa Uhuru 2023 ‘Tunza mazingira,okoa vyanzo vya maji kwa ustawi wa viumbe hai na uchumi wa taifa’

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA MKALAMA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI

    April 24, 2025
  • WANAWAKE MKALAMA WAHIMIZWA KUGOMBEA NAFASI ZA UONGOZI

    March 06, 2025
  • DC MACHALI ATOA WITO WATU WA AFYA MKALAMA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    February 19, 2025
  • SEMINA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU WILAYANI MKALAMA

    February 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • eMrejesho -Tuma Malalamiko, Maoni au Pongezi
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA, 18 MASAKA RD, 43582

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964005

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@mkalamadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.