• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Mwenge wa Uhuru umekabidhiwa rasmi katika Wilaya ya Singida

Imewekwa kwenye: August 11th, 2022

Wilaya ya Mkalama Leo imekabidhi Mwenge wa uhuru katika Halmashauri ya Wilaya ya Singida .

Akikabidhi  Mwenge wa huru, Mkuu wa wilaya ya Mkalama Mhe. Sophia Kizigo amesema kuwa Mwenge wa uhuru ukiwa wilayani Mkalama umetembelea na kukagua  Miradi mitano na program tano yenye thamani ya sh Bill 1.34.


Pamoja na hayo   Dc Kizigo  alisema kuwa Mwenge ukiwa wilayani Mkalama umeacha jumbe mbalimbali ikiwa ni pamoja na Sensa ni Msingi wa mipango ya Maendeleo shiriki  kuhesabiwa tuyafikie malengo ya taifa, pamoja na kutoa elimu kwa wananchi kuhusu  kuzingatia  lishe bora, Mapambano dhidi ya rushwa ,Mapambano dhidi ya VVU/ UKIMWI, Mapambano dhidi ya matumizi ya madawa ya kulevya na Mapambano dhidi ya Malaria.


Akiongea wakati wa kukabidhi Mwenge katika Halmashauri ya Wilaya ya Singida Bw.Emmanuel Ndege Chacha Mkimbiza Mwenge kitaifa,  alisema kuwa Mwenge wa uhuru umependezwa na umoja na mshikamano wa viongozi na Wananchi wa wilaya ya Mkalama na kuwataka kuendeleza umoja huo  hata baada ya Mwenge kuondoka wilayani hapa.


Aidha Bw. Chacha aliwataka Wananchi wa wilaya ya Singida kuiga mfano Kwa Mkalama kwani nyaraka  zote zilizokua zinahitajika zilikua halisi na zimenyoka tena zilikua zipo kwenye maeneo  ya miradi na miradi yote iliyotembelewa na Mwenge wa Uhuru iliendana na thamani  iliyokusudiwa.


Kwa upande wake Mkuu wa wilaya Singida  Mhandisi  Pascasi  Mragiri amekiri kupokea Mwenge wa uhuru ukiwa unawaka na kumeremeta hivyo kusema kuwa Mwenge ukiwa wilayani Singida utakimbizwa kwa Kilomita 130 na utazindua na kukagua Miradi ya Maendeleo pamoja na kutembelea program tano zenye thamani ya shilingi Bill.1.36.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA MKALAMA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI

    April 24, 2025
  • WANAWAKE MKALAMA WAHIMIZWA KUGOMBEA NAFASI ZA UONGOZI

    March 06, 2025
  • DC MACHALI ATOA WITO WATU WA AFYA MKALAMA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    February 19, 2025
  • SEMINA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU WILAYANI MKALAMA

    February 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • eMrejesho -Tuma Malalamiko, Maoni au Pongezi
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA, 18 MASAKA RD, 43582

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964005

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@mkalamadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.