• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

MKALAMA YAZINDUA ZAHANATI MBILI MPYA

Imewekwa kwenye: August 11th, 2024

Wananchi wa vijiji vya Igonia na Kinakamba wilaya ya Mkalama wameishukuru serikali kwa kuwasogezea  huduma za afya karibu kitu ambacho kitawasadia kupunguza adha ya kutembea umbali mrefu kufuata huduma hiyo

Shukrani hizo wamezitoa Agosti 10,2024 wakati wa uzinduzi wa Zahanati mpya ya Kijiji cha Kinakamba katika kata ya Ibaga pamoja na Zanahiti ya Kijiji cha Igonia inayopatikana katika kata ya Ibaga wilayani Mkalama.

Elipendo Samweli, mkazi wa Kijiji cha Igonia amesema kwa muda Mrefu wamekuwa wakitembea umbali Mrefu kufuata huduma hizo katika vijiji vya Mkalama, Gumanga na Nduguti

“Tunaishuruku sana serikali, hatukuwahi kuwa na Zahanati katika Kijiji chetu leo hii mimi kama Mama, zahanati hii itasaidia kupata huduma mbalimbali kama vile watoto kupata chanjo kwa wakati, wajawazito kufika kliniki kwa wakati, tunasema asente”

Rajabu Issa Mkumbo, makazi wa Kijiji cha Kinakamba amesema kufunguliwa kwa Zahanati hiyo itawasadia kuondoa gharama za kusafiri umbali mrefu kufuata huduma hizo katika vijiji vya Mkalama, Nduguti pamoja na Gumanga.

Awali akizungumza wakati wa uzinduzi wa zahanati hizo mbili, Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Mkalama, Mhe. James Mkwega amewataka wananchi hao kutoa ushirikiano kwa watoa huduma wanaoletwa na serikali pamoja na kuwaomba kuchangia damu kwa wingi.

Kwa upande wake, Mganga Mkuu wa wilaya ya Mkalama, Dkt. Solomon Michael amewakumbusha watumishi wa afya kutoa huduma bora na kuwasisitizia wananchi kujiunga na bima ya afya ya CHF kwa yenye gharama nafuu.

Kuzinduliwa kwa Zahanati ya Igonia pamoja na Kinakamba, kunapeleka wilaya ya Mkalama kuwa na jumla ya vituo vya kutolea huduma za afya 41.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA MKALAMA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI

    April 24, 2025
  • WANAWAKE MKALAMA WAHIMIZWA KUGOMBEA NAFASI ZA UONGOZI

    March 06, 2025
  • DC MACHALI ATOA WITO WATU WA AFYA MKALAMA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    February 19, 2025
  • SEMINA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU WILAYANI MKALAMA

    February 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • eMrejesho -Tuma Malalamiko, Maoni au Pongezi
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA, 18 MASAKA RD, 43582

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964005

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@mkalamadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.