• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Miradi ya maji Wilaya Mkalama kutatua Changamoto ya upatikanaji maji Safi na salama.

Imewekwa kwenye: January 6th, 2022


Mkuu wa wilaya ya Mkalama Mhe. Sophia Mfaume Kizigo amepongeza usimamizi wa miradi ya Maji inayoendelea katika kijiji cha  Senene kilichopo Kata ya Iguguno na Milade Kata ya Tumuli  kwani kukamilika kwa miradi hiyo itapunguza tatizo kubwa la maji kwa Vijiji hivyo.


Ametoa pongezi hizo alipotembelea na kukagua ujenzi wa miradi ya  maji Kwa kijiji Cha Senene na Milade Wilayani Mkalama Mkoa wa Singida.


Pamoja na hayo Mhe. Kizigo amefurahishwa na usimamizi wa miradi hiyo  kwani ni  shirikishi Kwa viongozi wa nyanja zote ikiwepo Vijiji, Kata na Wilaya na kuongeza kuwa hii inaonyesha Wananchi pamoja na viongozi wao wanaunga Mkono juhudi za Serikali ambayo imekua ikitumia fedha nyingi ili kutatua Changamoto za Wananchi kwenye sekta za Elimu, Afya pamoja na maji.


Awali akisoma taarifa Kwa Mkuu wa wilaya ya Mkalama , Meneja wa RUWASA Wilaya ya Mkalama Mhandisi Antidius Muchunguzi amesema kuwa kukamilika kwa miradi hiyo ya maji itapunguza migogoro kwenye familia inayosababishwa na wakina mama kutumia Muda mwingi kutafuta maji badala ya kuhudumia familia,  kupunguza Muda wa upatikanaji wa maji Safi na salama,  kupunguza Magonjwa yanayosababishwa na matumizi ya maji yasiyo Safi na salama pamoja na kukuza uchumi kwa wananchi kwa kuwa na Muda  mwingi wa uzalishaji Mali.


Aidha, ameongeza kuwa mradi wa Senene unatekelezwa kwa Fedha za Lipa kwa matokeo (P4 R) na umejengwa tanki lenye ukubwa wa Lita 100,000 juu ya ardhi pamoja na fensi wenye thamani ya Tsh. 569,061,004.80  na unatarajiwa kuhudumia wananchi 4,932 na mradi wa Kijiji Cha Milade unatekelezwa kwa Fedha za Mkopo kutoka IMF za Mradi wa 5441 PCRP-UVIKO 19 na unajengwa tanki la Lita 90,000 katika mnara wa mita 9 na fensi wenye thamani ya TSH.502,000,000.00 unatarajia kuhudumia wananchi wapatao 2,088 na miradi yote inatarajiwa kukamili ifikapo mwezi April mwaka 2022.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA MKALAMA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI

    April 24, 2025
  • WANAWAKE MKALAMA WAHIMIZWA KUGOMBEA NAFASI ZA UONGOZI

    March 06, 2025
  • DC MACHALI ATOA WITO WATU WA AFYA MKALAMA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    February 19, 2025
  • SEMINA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU WILAYANI MKALAMA

    February 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • eMrejesho -Tuma Malalamiko, Maoni au Pongezi
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA, 18 MASAKA RD, 43582

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964005

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@mkalamadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.