• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

MADIWANI WATAKIWA KUHAMASISHA KILIMO NA UFUGAJI WA KISASA

Imewekwa kwenye: December 2nd, 2025

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama, Mhe. Mohamed Hamis, amewataka Madiwani wa wilaya hiyo kuwa mstari wa mbele katika kuhamasisha wananchi kulima kwa wingi kwa kuzingatia kilimo cha kisasa ili waweze kukuza vipato vyao.

Wito huo ameutoa Desemba 2, 2025, wakati wa Kikao cha Kwanza cha Baraza la Madiwani kilichofanyika katika Ukumbi wa Sheketela uliopo Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama.

“Tumefika kwenye kilimo, tuhamasishe watu walime. Wilaya yetu tuna shughuli mbili: kilimo na ufugaji. Tukihamasisha watu walime, wakilima wataondokana na umasikini,” alisema Mhe. Mohamed.

Aidha, Mhe. Hamis alisisitiza umuhimu wa wakulima kujiunga katika vyama vya ushirika ili waongeze tija na kupata faida zaidi kupitia kilimo.
“Ushirika ni jambo muhimu sana, tuhamasishe wakulima wajiunge katika vyama vya ushirika,” aliongeza.

Akizungumzia sekta ya ufugaji, Mhe. Mohamed aliwataka madiwani kuendelea kuwaelimisha wananchi kuhusu ufugaji wa kisasa ili kuongeza tija na ubora wa mifugo yao.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MADIWANI WATAKIWA KUHAMASISHA KILIMO NA UFUGAJI WA KISASA

    December 02, 2025
  • DIWANI MOHAMED JUMA HAMIS ACHAGULIWA MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA

    December 02, 2025
  • MKUU WA WILAYA AZUNGUMZA NA MAKUNDI MBALIMBALI

    December 01, 2025
  • WANAWAKE MKALAMA WAHIMIZWA KUSIMAMIA MALEZI YA WATOTO

    November 29, 2025
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • eMrejesho -Tuma Malalamiko, Maoni au Pongezi
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA, 18 MASAKA RD, 43582

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964005

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@mkalamadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.