• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

KAMATI YA LISHE IZINGATIE VIPAUMBELE VYA JAMII KUONDOA UTAPIAMLO WILAYANI MKALAMA.

Imewekwa kwenye: November 16th, 2022

Kamati ya Lishe Wilayani Mkalama wametakiwa kuandaa bajeti itakayotosheleza kutekeleza Afua za Lishe na kuingizwa kwenye Bajeti kuu 2023/2024 na katika   mipango ya Halmashauri.

Akifungua mafunzo ya kamati ya Lishe wilaya jana Novemba 15. 2022 kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama, Afisa Uchaguzi Wilaya, Bw. Abdalah Njelu alisema bajeti hiyo ifanywe kwakuzingatia vipaumbel vya Lishe ili kuondoa utapiamlo Wilayani hapa.

‘’Niwapongeze Idara ya Afya kupitia Sekta ya Lishe kufanya maandalizi ya kupata bajeti ihusuyo masuala ya Lishe hii itawasaidia kutekeleza majukumu yenu vizuri  kwa wakati tofauti na hapo awali mlipokuwa manataka kufanya vikao vyenu mnashindwa kutokana na ufinyu wa bajeti’’ Aliongeza Bw. Njelu.

Pamoja na hayo aliendelea kuwataka wajumbe wa kamati hiyo kila mtu kwa nafasi yake kuhahikisha kuwa na ushindani wa kisekta  katika masuala ya Lishe na kuwa kielelezo kuanzia kwenye  kaya zao, pia kuhakikisha fedha zilizotengwa  kwaajili ya shughuli ya Lishe zinatumika kama ilivyokusudiwa.

Afisa Lishe Wilaya ya Mkalama Bi. Eliwandisha Kinyau alieleza Vipaumbele vya Halmashauri  katika Lishe kwa mwaka 2022/2023 kuwa ni kupunguza Utapiamlo, kuongeza upungufu wa Virutubisho, Kuimarisha mazingira wezeshi na kutekeleza  Afua wezeshi na Mtambuka.

Aidha aliendelea kwakusema kuwa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama inategemea kutengeneza mpango wa bajeti  utakaokidhi mahitaji  ya Kibajeti na  yanayozingatia  afua za Lishe katika Sekta Mtambuka  na kuboresha Mapungufu yaliyojitokeza katika bajeti iliyopita.

Naye Mratibu wa Afya ya Mama na Mtoto Mkoa wa Singida, Bi.  Christowelu Barnabas  alitumia kikao hicho kuwataka  Wataalamu kwa kushirikiana na sekta zingine kuendelea kutoa Elimu  juu ya lishe kwa wananchi wote, ambapo Idara ya Maendeleo ya jamii kuelimisha jamii juu ya umuhimu wa lishe na ulaji unaoshauriwa kitaalamu, Idara ya Kilimo kuelimisha jamii kulima kilimo cha vyakula lishe ili jamii iwe na uelewa kuhusu lishe na kuwa na vizazi vyenye afya bora.






Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA MKALAMA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI

    April 24, 2025
  • WANAWAKE MKALAMA WAHIMIZWA KUGOMBEA NAFASI ZA UONGOZI

    March 06, 2025
  • DC MACHALI ATOA WITO WATU WA AFYA MKALAMA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    February 19, 2025
  • SEMINA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU WILAYANI MKALAMA

    February 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • eMrejesho -Tuma Malalamiko, Maoni au Pongezi
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA, 18 MASAKA RD, 43582

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964005

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@mkalamadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.