• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

JAMII IPEWE ELIMU YA LISHE " DC MACHALI

Imewekwa kwenye: November 10th, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Mkalama, Mhe.Moses Machali amewataka Watendaji wa Kata , vijiji pamoja na wasimamizi wa Lishe ngazi ya Wilaya, Kata na Jamii kuhakikisha wanasimamia vyema masuala ya Lishe kwenye maeneo yao ili kujenga jamii ya watu imara na wenye akili timamu .


Mhe. Machali, ameyasema hayo mapema leo katika Ukumbi wa Mikutano uliopo katika Ofisi za Mkuu wa Wilaya  ya Mkalama mapema leo November 10, 2023 katika kutathimini hali ya Lishe Wilayani hapa kwa kipindi cha robo ya kwanza ya mwaka wa fedha 2023/2024  kuanzia Julai-Septemba  2023.


Amesema kuwa suala la Lishe ni ajenda muhimu inayotakiwa kuhubiriwa popote ili jamii  iweze kuboresha afya zao,  na kuendelea kutoa elimu ya kuchangia chakula shuleni kitakachopelekea wanafunzi kula walau mlo moja kwa siku wanapokuwa masomoni  ili kuwapa utulivu wawapo darasa .


‘’Mkawaelimishe wananchi kuchangia chakula shuleni, waelezeni madhara yanayowapata watoto wakiwa na njaa, msiwachukulie hatua kama hamjatoa elimu’’. Alisistiza Mhe. Machali.


Awali akiwasilisha taarifa ya hali ya utekelezaji Afua ya Lishe katika Wilaya ya Mkalama Afisa Lishe kutoka kitengo cha Lishe Idara ya afya Bw. Zacharia Nyahende amesema kuwa kitengo kinaendelea kutoa elimu ya lishe kwa makundi mbalimbali katika jamii ikiwepo kundi la wa Mama Wajawazito, Wanaonyonyesha, Watoto chini ya miaka mitano, makundi ya Wazee na Watu wazima , vijana wa rika balehe pamoja  Lishe shuleni.


Ameongeza kuwa wanaendelea kuishauri jamii kula mlo kamili kwakuzingatia   makundi matano ya chakula ambayo ni Nafaka , mizizi na ndizi mbichi ,asili ya wanyama na jamii ya mikunde, mbogamboga, matunda pamoja na sukari, asali na mafuta,  kunywa maji ya kutosha  kula mlo unaoshauri kiafya pia kufanya mazoezi.


Sanjari na hayo amesema kwa robo ya kwanza julai hadi Septemba wilaya ya mkalama imetekeleza siku ya elimu ya afya na lishe kwa asilimia 100 ambapo vijiji vyote 70 vya wilaya ya Mkalama vimetekeleza siku hiyo kupima hali za afya na lishe na kuendesha masomo ya mapishi darasani kwa jamii na jumla ya wanawake 46490 wamepata elimu.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA MKALAMA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI

    April 24, 2025
  • WANAWAKE MKALAMA WAHIMIZWA KUGOMBEA NAFASI ZA UONGOZI

    March 06, 2025
  • DC MACHALI ATOA WITO WATU WA AFYA MKALAMA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    February 19, 2025
  • SEMINA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU WILAYANI MKALAMA

    February 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • eMrejesho -Tuma Malalamiko, Maoni au Pongezi
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA, 18 MASAKA RD, 43582

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964005

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@mkalamadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.