• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

HATI 208 ZAKABIDHIWA KWA WANANCHI WA MIDIBWI

Imewekwa kwenye: June 3rd, 2023
  1. HATI 208 ZAKABIDHIWA KWA WANANCHI WA MIDIBWI


Mkuu wa Wilaya ya Mkalama, Mhe. Mosses Machali  leo Juni 3 2023 amekabidhi hati za Kimila 208 kwa wananchi wa Kitongoji cha Midibwi Kijiji cha Munguli Kata ya Mwangeza ambapo amewataka kutunza hati hizo kwani zina manufaa makubwa kwao.


Akiongea wakati anakabadhi hati za kimila kwa wananchi Mhe. Machali ameongeza kuwa mpango wa matumizi bora ya Ardhi ya kijiji ni suluhisho la Migogoro ya Ardhi kwa wananchi ambayo pia itazuia matumizi yasiyosahihi ya Ardhi.


‘’ hizi Hati ni dili kwanza itasaidia kupunguza migogoro ya Ardhi, pili itasaidia kupata hata mikopo Benki kwahiyo zilindeni msiziandike andike ikiwezekana tafuteni bahasha maalumu kabisa kwaajili ya kuzihifadhi’’ Alisisitiza Dc Machali.

Pamoja na hayo amesema lengo la Serikali ni kuhakikisha wananchi wanapata huduma iliyobora kwakutenga fedha kwaajili ya upimaji wa Ardhi na kuwa na matumizi bora , hivyo kuwataka wananchi ambao hawajapimiwa maeneo yao kutumia fursa hiyo Adhimu ili kila mmoja apate hati hizo za Kimila na kuwataka wananchi kuheshimu na  na kufuata mpango bora ya ardhi katika maeneo yao.


Akiongea kwa niaba ya Wananchi Diwani wa Kata ya Mwangeza Mhe. Bosco  Samweli amemshukuru Mkuu wa Wilaya kufika katika kijiji cha Midibwi na kukabidhi hati hizo za Kimila ambapo ameiomba Serikali kuhakikisha wanatatua migogoro yote ya Ardhi Wilayani hapa ili wananchi waweze kupata hati za Kimila na kutumia muda mwingi kujiletea maendeleo kuliko kutatua migiogoro na kushughulikia kesi.


Baadhi ya Wananchi waliopata hati hizo wameishurukuru serikali kupitia Ofisi ya Makamu wa Rais ( Mazingira) kupitia Mradi wa kurejesha Ardhi iliyoharibika na kuongeza usalama wa chakula katika maeneo kame kwakuwa na mpango wa matumizi  bora ya Ardhi na kusema mpango huo utachochea kukua kwa uchumi wao binafsi na wa Kijiji kwani watatumia hati hizo kuomba mikopo na kuharakisha maendeleo yao.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA MKALAMA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI

    April 24, 2025
  • WANAWAKE MKALAMA WAHIMIZWA KUGOMBEA NAFASI ZA UONGOZI

    March 06, 2025
  • DC MACHALI ATOA WITO WATU WA AFYA MKALAMA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    February 19, 2025
  • SEMINA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU WILAYANI MKALAMA

    February 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • eMrejesho -Tuma Malalamiko, Maoni au Pongezi
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA, 18 MASAKA RD, 43582

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964005

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@mkalamadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.