• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Chanjo inapunguza gharama za matibabu- Masaka

Imewekwa kwenye: April 30th, 2018

“Jamii iliyopata chanjo ni jamii yenye Afya, Timiza wajibu wako” Ni kauli mbiu iliyobeba kampeni ya saratani ya mlango wa kizazi kwa wasichana wenye umri wa Miaka 14 iliyozinduliwa rasmi leo Wilayani Mkalama.

Uzinduzi huo ambao ulihudhuriwa na wananchi, viongozi mbalimbali wa dini na jamii, wanafunzi wa sekondari na wataalam mbalimbali kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama ulifanywa na Mkuu wa Wilaya ya Mkalama Mhe. Mhandisi Jackson Masaka.

Katika uzinduzi huo Mhe. Masaka aliwasisitiza wananchi kuwapeleka watoto wao wa kike wenye umri wa miaka 14 ili wakapate kinga ya saratani hiyo ambayo kila mwaka husababisha vifo vya wanawake 4216 hapa nchini.

“hii ina maana kila siku wastani wa wanawake 11 hufariki dunia hapa nchini kutokana na saratani hii takwimu ambayo ni kubwa sana hivyo wananchi tuhakikishe tunawapa mabinti zetu chanjo hii ili kushusha na kutokomeza kabisa  ugonjwa huu kwa akinamama” Aliongeza Mhe. Masaka.

Mhe. Masaka alisisitiza kuwa wananchi wakipata chanjo itawapunguzia gharama za matibabu kwa sababu suala hilo hivi sasa limekuwa mzigo mkubwa sana kwa mwananchi wa kawaida.

Akizungumza kwa niaba ya Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama, Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama Mhe. Loth Dia aliwataka wananchi wa Wilaya ya Mkalama kuondoa dhana potofu kuwa chanjo huongeza zaidi maradhi na kuwataka kujitokeza kwa wingi katika vituo vya kutolea chanjo hiyo.

“Siku za nyuma wanawake wengi walipoteza maisha kwa sababu hakukuwa na chanjo ya Ugonjwa huu hivyo tunaishukuru serikali kwa kuokoa maisha ya kizazi kilichopo kutokana na ugonjwa huu wa saratani ya Mlango wa kizazi na wananchi tuiunge Mkono kwa kuhakikisha watoto wetu wanajitokeza kwa wingi kwenda kupatiwa chanjo hii” Alisema Mhe. Dia.

Kwa mwaka 2018 Wilaya ya Mkalama imelenga kutoa chanjo kwa wasichana 2783 ambao walizaliwa mwaka 2004.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YAKABIDHI KADI ZA MATIBABU BURE KWA WAZEE MKALAMA

    June 15, 2025
  • SIKU YA MTOTO WA AFRIKA WILAYANI MKALAMA

    June 16, 2025
  • Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mkalama Apongeza Ujenzi wa Zahanati ya Nkenke

    June 13, 2025
  • ZIARA YA KAMATI YA SIASA MKOA WA SINGIDA

    June 11, 2025
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • eMrejesho -Tuma Malalamiko, Maoni au Pongezi
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA, 18 MASAKA RD, 43582

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964005

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@mkalamadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.