• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Billion 2.2 kutekeleza kazi ya utengenezaji wa Barabara wilayani Mkalama Kwa mwaka wa fedha 2022/2023.

Imewekwa kwenye: January 4th, 2022



Meneja wa TARURA Wilaya ya Mkalama Mhandisi Mang'ara Magoti  amesema kuwa Kwa mwaka wa fedha 2022/2023 imepanga kutumia kiasi cha Tsh. Bilioni 2,201,880,000  kwa ajili ya utekelezaji wa kazi za matengenezo ya Barabara Wilayani hapa .


Amesema hayo mapema Leo katika mpango wa kujadili bajeti ya utekelezaji wa shughuli za matengenezo ya Barabara ya wakala wa Barabara za vijijini na mijini Tanzania (TARURA)  Wilaya ya Mkalama  Kwa mwaka 2022/2023 ambao ulijadiliwa  na Baraza maalumu  la madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama katika ukumbi wa Sheketela uliopo Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama.


Mhandisi Magoti ameongeza kuwa matengenezo hayo yataanza Julai 2022 Hadi Juni 2023 ambayo yatahusisha mfuko wa Jimbo, tozo ya mafuta pamoja na fedha kutoka mfuko wa Barabara ( Road Fund Board) huku akieleza mchanganuo wa namna ya  matengenezo  hayo yatakavyofanyika kuwa ni ya Muda Maalumu kilomita 17, matengenezo ya maeneo korofi kilomita 33.135 , matengenezo ya kawaida Kilomita 33. 90 pamoja na Ujenzi wa madaraja, Drift na karavati ili kuboresha Miundo mbinu ya Barabara za Wilaya ya Mkalama  ziweze kupitika Kwa kipindi kirefu cha mwaka.


Katika hatua nyingine Baraza la  Madiwani  waliunga mkono bajeti hiyo huku wakimtaka Mhandisi wa TARURA Wilaya ya Mkalama kuhakikisha wakandarasi waanza utekelezaji wa miradi hiyo na  kukamilika Kwa wakati ili kuharakisha maendeleo ya Wilaya ya Mkalama  na kufanya shughuli za kiuchumi kuendelea Kwa Kasi kubwa.


Aidha wameridhia Kwa pamoja na  kuweka sheria Kali Kwa mtu yeyote atakayeharibu Miundo mbinu ya Barabara Kwa kupitisha Ng'ombe barabarani, kuvamia hifadhi za Barabara na kufanya shughuli za kilimo na ujenzi kuwa watachukuliwa hatua Kali kwani kwakufanya hivyo watafanya Barabara kudumu kwa Muda mrefu ambapo Serikali imekuwa ikitumia fedha nyingi katika matengenezo hayo.


Naye  Mbunge wa Jimbo la Iramba Mashariki Mhe. Francis Isack Mtinga ameishukuru serikali ya awamu ya sita kuona ipo haja ya kuwashirikisha Madiwani katika kujadili mpango wa bajeti ya matengenezo ya Barabara Kwa mwaka wa fedha 2022/2023 hivyo kuwataka waheshimiwa Madiwani kuwa wavumilivu kwani miradi haitafika Kwa wakati Mmoja kwa maeneo yote huku akiwataka kutoa ushirikiano pindi wakandarasi wanapokuwa kwenye maeneo yao ya utawala kwa kusimamia shughuli hizo pamoja na ubora wa miradi na kuhakikisha wanasimamia  Wananchi wanaoharibu Barabara kutokana na shughuli zao za kila siku.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA MKALAMA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI

    April 24, 2025
  • WANAWAKE MKALAMA WAHIMIZWA KUGOMBEA NAFASI ZA UONGOZI

    March 06, 2025
  • DC MACHALI ATOA WITO WATU WA AFYA MKALAMA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    February 19, 2025
  • SEMINA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU WILAYANI MKALAMA

    February 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • eMrejesho -Tuma Malalamiko, Maoni au Pongezi
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA, 18 MASAKA RD, 43582

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964005

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@mkalamadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.