• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Idara ya Maji

 Utangulizi

1.1 Mahitaji ya rasilimali watu

Mahitaji ya rasilimali watu kwenye idara ni watumishi 28 ambayo inajumuisha wahandisi wanne, fundi sanifu 8, na fundi bomba 16. Kwa sasa kuna jumla ya watumishi saba (7) ambao mhandisi mmoja (kaimu mkuu wa idara), fundi sanifu (maji) wanne na fundi sanifu wasaidizi (maji) wawili. Hii sawa na asilimia 25 ya mahitaji ya watumishi wote.

1.2 Majukumu ya idara ya maji ndani ya wilaya

Idara ya maji ni mojawapo ya idara 17 katika halmashauri ya wilaya ya mkalama

Kwa kuzingatia mamlaka za serikali za mitaa katika halmashauri ya wilaya ya mkalama, tuna wajibu wa kuimarisha upatikanaji wa maji safi na salama kwa kutoa huduma ya maji kwa jamii ikiwa kama mahitaji muhimu kwa watu.

Zifuatazo ni shughuli ambazo kama idara zinaendelea kuzifanya

a) Kufanya upembuzi yakinifu, kukusanya

b) kufanya utafiti wa maji ardhini ili kuweza kutambua sehemu ambayo itatupa maji ya kutosha ambayo itatumika kama chanzo cha maji

c) Kusimamia utekelezaji wa miradi ya maji kwa kuangalia ubora wake

d) Kutunza rekodi za rasilimali za maji

e) Kufanya usimamizi na kufuatilia utekelezaji wa miradi ya maji.


Ili uweze kupata taarifa ya idara kwa undani tafadhali bonyeza hapa

Matangazo

  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2020 KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA December 07, 2019
  • TANGAZO LA KAZI March 23, 2018
  • KURUDISHWA KAZINI April 11, 2018
  • KUITWA KWENYE USAHILI May 23, 2018
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Mkalama ni nkulu kuliko Iramba-RC

    June 03, 2019
  • Mkalama yazindua bima ya afya iliyoboreshwa

    May 07, 2019
  • Wiki ya maji yafikia tamati leo Mkalama

    March 21, 2019
  • Mwakyembe afika bomani

    March 12, 2019
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Maeleo ya fomu ya uadilifu kwa watumishi wa umma
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Mwongozo wa jinsi ya kujaza fomu za Opras

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    MKALAMA DISTRICT COUNCIL

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964000

    Simu ya Mkononi: +255 714 772 300

    Barua pepe: ded.mkalamadc@singida.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.