• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

ZAO LA PAMBA KULIMWA KIMKAKATI WILAYANI MKALAMA.

Imewekwa kwenye: October 3rd, 2022

Zao la pamba limetaja kuwa zao la Kimkakati  na likilimwa kwa kufuata sheria na taratibu linaweza kuongeza pato la Taifa, Mkoa , Wilaya na kwa Mtu mmoja mmoja.


Balozi wa zao la pamba Kitaifa  Agrey  Mwanry amesema hayo  Oktoba  2  wakati  wa ufunguzi wa kampeni  ya kuhamasisha  kilimo cha zao la pamba katika wilaya ya Mkalama.


Katika ufunguzi wa kampeni hiyo alianza kufanya kikao cha ndani na  wataalamu wa kilimo pamoja na wakuu wa Idara na  Vitengo mbalimbali , Watendaji wa  Kata, Makatibu Tarafa , Wadau wa kilimo cha pamba , Viongozi  wa AMCOS  katika ukumbi  wa ofisi ya Mkuu wa wilaya  ya Mkalama  na ambapo  Kampeni hiyo iliendelea katika  Kijiji cha Kinyangiri na Lyelembo vilivyopo  Kata ya Kinyangili.


Balozi Mwanry alitaja faida za zao la pamba kama likilimwa kwa tija na kimkakati kuwa  litaongeza uzalishaji  kutoka kilo 100- 250 ambao wakulima wanapata sasa kwa heka Moja  na kufikia Kilo 2500 kwa heka moja.


Pamoja na hayo  Balozi Mwanry alieleza kanuni mbalimbali za kilimo cha pamba ikiwa ni pamoja na kuandaa shamba kwa wakati , kupanda kwa wakati  na kwakutumia vipimo stahiki cha Rula mbili  kati  ya shimo na  shimo na  rula moja kati ya Mbegu na mbegu , kupalilia kwa wakati na kufuata hatua za kupalilia , kuvuna kwa wakati  pia kuchoma masalia ya mazao ambapo yasipo chomwa yanapelekea kuzalisha wadudu wanaoshambulia  zao hilo pia aliwataka kunyunyiza dawa kwa wakati.


‘’Ninawashauri  Wananchi   kutumia fursa hii adhimu ambayo imekuja kwenu Mkalama fursa  hazitolewi f ursa zinachukuliwa ‘’. Aliongeza Balozi Mwanry.


Baadhi ya wananchi wameishukuru Serikali kwa fursa hiyo na kuahidi watafuata sheria na kanuni za kilimo bora ili kuongeza tija katika uzalishaji wa zao la pamba wilayani Mkalama.


Ziara hii inaendelea leo  Oktoba 3 katika Kata ya Mwangeza.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA MKALAMA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI

    April 24, 2025
  • WANAWAKE MKALAMA WAHIMIZWA KUGOMBEA NAFASI ZA UONGOZI

    March 06, 2025
  • DC MACHALI ATOA WITO WATU WA AFYA MKALAMA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    February 19, 2025
  • SEMINA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU WILAYANI MKALAMA

    February 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • eMrejesho -Tuma Malalamiko, Maoni au Pongezi
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA, 18 MASAKA RD, 43582

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964005

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@mkalamadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.