• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

ZAIDI YA WATOTO ELFU SITINI KUPATIWA DAWA ZA MINYOO TUMBO

Imewekwa kwenye: November 15th, 2022

Watoa huduma za Afya Wilayani Mkalama wametakiwa kutoa elimu na kuhamasisha  Wazazi na walezi kuhakikisha wanaruhusu Watoto kupatiwa  dawa  za minyoo tumbo ili kuwakinga na  madhara ya ugonjwa huo.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama Bi. Asia Messos amesema hayo mapema leo Novemba 15. 2022 wakati akifungua mafunzo  kwa washiriki takribani 237 watakaotekeleza zoezi la kugawa dawa  za kutibu na kukinga maambukizi ya minyoo ya Tumbo, mafunzo yaliyofanyika katika ukumbi wa Sheketela Wilayani Mkalama.

‘’Serikali kupitia waaalamu wake hutoa maelekezo ya namna bora ya kuhudumia  wananchi wake, hivyo mafunzo haya yakawajengee uwezo  wa kufanya zoezi hili kwa umakini mkubwa, na  hakikisheni  Watoto  wote wenye  miaka 5 hadi 14 wanakingwa  kwa kupatiwa vidonge dhidi ya  ugonjwa wa minyoo na tumbo’’ Aliongeza Bi Messos.

Aidha Bi Messos alisema kuwa japo magonjwa hayo yalikuwa hayapewi kipaumbele  lakini yamesababisha madhara  mengi kwa jamii kama vile maumivu ya muda mrefu , Ulemavu , Umasikini , Ukuaji duni hivyo kuwataka kuwa chachu  kwa jamii na kupunguza  athari hizo hususani kwa Watoto kushindwa kumudu masomo vizuri.

‘’Nimeambiwa hapa na Mganga Mkuu kuwa pamoja na magonjwa haya hayapewi kipaumbele nimeambiwa hapa kuwa takribani  watu Billioni mbili  Duniani kote wapo hatarini  kupata magonjwa hayo na Nchini Tanzania takribani watu Millioni Tano wameshaambukizwa magonjwa haya’’. Alisisitiza Bi. Messos

Mratibu wa Magonjwa  yasiopewa kipaumbele Dr. Julius Nyenje amesema kuwa takribani Watoto 61,247 wenye miaka 5 hadi 14 wanatarajiwa kupatiwa chanjo ya Minyoo Wilayani Mkalama hivi karibuni.



Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA MKALAMA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI

    April 24, 2025
  • WANAWAKE MKALAMA WAHIMIZWA KUGOMBEA NAFASI ZA UONGOZI

    March 06, 2025
  • DC MACHALI ATOA WITO WATU WA AFYA MKALAMA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    February 19, 2025
  • SEMINA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU WILAYANI MKALAMA

    February 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • eMrejesho -Tuma Malalamiko, Maoni au Pongezi
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA, 18 MASAKA RD, 43582

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964005

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@mkalamadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.