• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

zaidi ya Hatimiliki za kimila 900 zagaiwa Wilayani Mkalama

Imewekwa kwenye: October 28th, 2022

Imeelezwa kuwa mpango wa matumizi  bora  ya Ardhi ya kijiji ndio suluhisho  sahihi la kuzuia  matumizi yasiyo endelevu ya raslimali ya Ardhi .

Hayo  yamesemwa  na  Mwenyekiti  wa Halmashauri ya wilaya  ya Mkalama ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Gumanga  Mhe. James Mkwega  wakat i akikabidhi  hati za umiliki wa kimila Mia Tisa (900) Oktoba 28 2022 katika Kata ya Mpambala  Wilayani Mkalama.

‘’Tunajua kuwa kumekuwepo  migogoro mingi  ya umiliki wa  matumizi ya ardhi  katika maeneo  yenu kwa sababu mbalimbali  ikiwepo wananchi kutokuwa na hati miliki za Ardhi , hali hii imepelekea wananchi kutumia muda mwingi  kuhangaikia masuala ya kesi  za umiliki wa ardhi badala  ya kutumia muda huo katika kufanya shughuli za  kujiongezea kipato’’ Aliongeza Mhe. Mkwega.

Aidha Mhe. Mkwega  alisema zoezi hili niendelevu n hivyo kuwasihi wananchi kuheshimu na kufuata mpango wa matumizi bora ya ardhi  katika maeneo yao.

Mratibu wa mradi wa kurejesha Ardhi  iliyoharibika na kuongeza usalama wa chakula Kitaifa Bw.  Joseph  Kihaule   aliongeza kuwa miongoni mwa maeneo yanayolengwa na mradi huu katika zoezi la kugawa hatimiliki za kimila  katika wilaya  ni pamoja na msitu wa Munguli uliopo kata ya Mwangeza  kuuandaa kuutumia  katika biashara ya hewa ya ukaa itakayopelekea kukua kwa pato la jamii ya Wahadzabe na Wilaya kwaujumla.

Wakizungumza  kwa  nyakati  tofauti tofauti  baadhi ya wananchi wa Vijiji vya Mpambala, Mkiko, Nyahaa  na  Lugongo wameishukuru serkali kupitia ofisi ya Makamu wa Rais ( Mazingira ) kwa kugawa hati hizo kwao na kuongeza kuwa ugawaji wa hati hizo utaharakisha maendeleo yao na kuchochea kukua kwa uchumi.

Mradi wa kurejesha Ardhi iliyoharibika na kuongeza usalama wa Chakula  kwemye maeneo kame unatekelezwa kwa Halmashauri ya  Nzega iliyo Mkoa wa Tabora , Magu (Mkoani Mwanza) Kondoa ( Mkoani Dodoma), Mkalama ( Mkoani Singida ) na  Micheweni (Pemba).

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA MKALAMA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI

    April 24, 2025
  • WANAWAKE MKALAMA WAHIMIZWA KUGOMBEA NAFASI ZA UONGOZI

    March 06, 2025
  • DC MACHALI ATOA WITO WATU WA AFYA MKALAMA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    February 19, 2025
  • SEMINA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU WILAYANI MKALAMA

    February 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • eMrejesho -Tuma Malalamiko, Maoni au Pongezi
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA, 18 MASAKA RD, 43582

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964005

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@mkalamadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.