• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

WILAYA YA MKALAMA YAJIVUNIA MAFANIKIO MAKUBWA KWA MIAKA 61 YA UHURU.

Imewekwa kwenye: December 7th, 2022

Katika kuelekea  maadhimisho miaka 61  uhuru wa Tanganyika wilaya ya Mkalama ni miongoni mwa Wilaya zinazojivunia mafanikio  mbalimbali yatokanayo na uhuru huo katika Nyanja mbalimbali.

Akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi  wa Halmashauri ya wilaya ya Mkalama Afisa Mazingira wa wilaya Amon Sanga ameyataja mafanikio ambayo yamepatikana ndani ya Wilaya  tangu uhuru ambayo yamegawanyika katika nyanya mbalimbali ikiwemo Sekta ya Afya , Elimu , miundombinu ya maji , Mawasiliano , Kilimo pamoja na umeme.

Sanga alisema kupatakana kwa Wilaya ya Mkalama kumerahisisha kwa kiwango kikubwa upatikanaji wa huduma mbalimbali kwa Wananchi jambo ambalo ni mafanikio makubwa kwa Wilaya tangu uhuru.

‘’ tunajivunia miaka 61 ya uhuru kwani tumefanikiwa kupata   Ofisi ya Halmashauri ya  Wilaya na kupata wilaya mpya kutoka wilaya Mama ya Iramba. Alisema Sanga

‘’Pia tunajivunia maboresho makubwa katika sekta ya Afya, tumepata Zahanati, Vituo vya Afya , Barabara, Maji , Umeme na mambo mengi ambayo kabla ya uhuru ilikuwa hamna’’. Aliongeza Sanga

Aidha Afisa mazingira huyo aliongeza kwakuwataka Wananchi kuwa wazalendo na kushiri katika shuguli mbalimbali za maendeleo pamoja na kuunga mkono juhudi za Serikali ya awamu ya Sita ambayo imeendelea kutoa fedha kwaajili ya maendeleo ya Wananchi.

Maadhimisho ya  miaka 61 Uhuru  mwaka 2022 kwa Mkoa wa Singida yatafanyika katika Kata ya Iguguno  Wilayani Mkalama  na Kauli Mbiu  ya Maadhimisho hayo ni ‘’MIAKA 61 YA UHURU  AMANI NA UMOJA NI NGUZO YA MAENDELEO YETU’’



Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA MKALAMA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI

    April 24, 2025
  • WANAWAKE MKALAMA WAHIMIZWA KUGOMBEA NAFASI ZA UONGOZI

    March 06, 2025
  • DC MACHALI ATOA WITO WATU WA AFYA MKALAMA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    February 19, 2025
  • SEMINA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU WILAYANI MKALAMA

    February 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • eMrejesho -Tuma Malalamiko, Maoni au Pongezi
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA, 18 MASAKA RD, 43582

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964005

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@mkalamadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.