• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

WASIMAMIZI WA MRADI WA BOOST WAPEWA MWEZI MMOJA KUKAMILISHA UJENZI

Imewekwa kwenye: April 5th, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Mkalama Mhe. Mosses Machali ametoa mwezi moja kukamika kwa  mradi wa kuboresha upatikanaji wa fursa sawa  katika ujifunzaji bora kwa Elimu ya Awali na Msingi Tanzania Bara (BOOST) miradi inayohusisha  ujenzi wa miundo mbinu ya Shule za Awali na Msingi Wilayani hapa.


 Mhe. Machali ametoa agizo hilo  mapema leo April 5, 2023 katika ukumbi wa Sheketela uliopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama  katika kikao kazi na Watendaji wa  Kata, Maafisa Tarafa , walimu wakuu Pamoja na Wakuu wa Idara na Vitengo.


‘’Ninatoa mwezi mmoja  baada ya vifungu vya fedha za utekelezaji wa mradi wa ‘Boost ‘ kusoma kwakweli sitokuwa na utani na mtumishi mzembe katika hili ninataka miradi hii ikamilike kwa wakati na tena kwa viwango’’ Alisisitiza Mhe. Machali.


Pamoja na haya amewataka wasimamizi wa Miradi hiyo kuhakikisha wanatafuta  mafundi wa kutosha ili kuongeza kasi ya ukamilishaji wa miradi hiyo huku akiwataka kusitisha mara moja mikataba na mafundi wazembe watakaopelekea ucheleweshaji wa ujenzi huo Pamoja na kusimamia vizuri sheria za manunuzi ya vifaa vya ujenzi .


Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama Bw. Selemani Msunga ambaye pia ni Afisa Kilimo,uvuvi na Mifugo amesema kuwa Wilaya imepokea shilingi Million 925,400,000/= kwaajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa 12 kwa Shule za Msingi Irama,Ishenga,Kikhonda,Kinyambuli, Ndala Pamoja na Nyahaa Pamoja ujenzi wa matundu  13 ya vyoo  katika Shule hizo.


Aidha Bw. Msunga aliongeza kuwa watahakikisha wanasimamia vizuri fedha hizo na kuahidi kukamilisha miradi hiyo kwa wakati Pamoja na kuwachukulia hatua watumishi wote wazembe watakao jaribu kukwamisha zoezi hilo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA MKALAMA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI

    April 24, 2025
  • WANAWAKE MKALAMA WAHIMIZWA KUGOMBEA NAFASI ZA UONGOZI

    March 06, 2025
  • DC MACHALI ATOA WITO WATU WA AFYA MKALAMA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    February 19, 2025
  • SEMINA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU WILAYANI MKALAMA

    February 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • eMrejesho -Tuma Malalamiko, Maoni au Pongezi
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA, 18 MASAKA RD, 43582

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964005

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@mkalamadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.