• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

WANANCHI TOENI NGUVU ZENU KUUNGA MKONO MIRADI YA MAENDELEO

Imewekwa kwenye: February 5th, 2025

Jamii imetakiwa kuendelea kupokea miradi inayotolewa na serikali na kuunga mkono juhudi hizo kwakujitoa nguvu kazi zao katika kusaidia miradi hiyo kukamilika kwa wakati na kuleta tija katika jamii.

Hayo yamesemwa Februari, 4 2025 na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama Mhe. James Mkwega katika ziara ya kamati ya Mipango na Fedha na Utawala ya kukagua na kutembelea miradi ya maendeleo inayoendelea katika maeneo mbalimbali Wilayani hapa.

‘’Niwaombe ndugu zangu wananchi tuendelee kuunga mkono juhudi za Serikali kwakujitoa nguvu zenu ili miradi hii ilete tija’’ Alisisitiza Mhe Mkwega

Aidha kamati hiyo imeridhishwa na utekelezwaji wa miradi unavyoendelea ambapo walitumia fursa hiyo kuwapongeza wasimamizi na kuwataka kuongeza kasi kwenye miradi inayoendelea ili ianze kutumika kwa wakati muafaka.

Katika hatua nyingine Mhe. Mkwega amewataka wazazi kuwapeleka watoto shule kwa wingi kutokana na Serikali kuboresha miundo mbinu ya kujifunza pamoja na kuchangia chakula shuleni ili watoto wawe nautulivu  na kupandisha kiwango cha ufaulu katika Wilaya , Mkoa na Taifa kwa ujumla.

Sanjari na hayo baadhi ya wananchi waliokuwepo kwenye maaeneo ya miradi wameishukuru Serikali kwa miradi na kuahidi kushiriki kikamilifu ili kuunga mkono juhudi za serikali ambapo wameahidi kuilinda miradi hiyo kwa maslahi mapana ya jamii inayowazunguka.

Ziara hiyo ilianza kwa kutembelea mradi wa ujenzi wa nyumba ya Mwalimu Shule ya Sekondari Mkalama One wenye thamani ya shilingi 95,000,000 .00 uliopo kijiji cha Maziliga Kata ya Nduguti,Ujenzi wa Madarasa matatu na matundu sita ya vyoo shule ya Msingi Mwandu Kata ya Iguguno wenye thamani ya shilingi 81,200,000.00 na baadaye ujenzi wa Bweni moja Shule ya Sekondari Tumuli Kata ya Tumuli wenye Thamani ya Shilingi 125,000,000.00

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA MKALAMA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI

    April 24, 2025
  • WANAWAKE MKALAMA WAHIMIZWA KUGOMBEA NAFASI ZA UONGOZI

    March 06, 2025
  • DC MACHALI ATOA WITO WATU WA AFYA MKALAMA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    February 19, 2025
  • SEMINA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU WILAYANI MKALAMA

    February 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • eMrejesho -Tuma Malalamiko, Maoni au Pongezi
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA, 18 MASAKA RD, 43582

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964005

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@mkalamadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.