• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

WAKULIMA WILAYANI MKALAMA KUUNGA MKONO JUHUDI ZA SERIKALI KWA KULIMA ZAO LA PAMBA

Imewekwa kwenye: October 4th, 2022

Wananchi  wa vijiji  vya  Mwangeza, Munguli, Endasiku  pamoja na Ikolo wameishukuru serikali ya awamu ya sita kupitia Bodi ya pamba Tanzania kuwapa elimu ya kilimo bora cha zao hilo inayolenga kuongeza tija katika uzalishaji na kupelekea  kukuza vipato vyao.

 Wamesema hayo mapema leo katika kampeni  ya  kuhamasisha zao la pamba kulimwa wilayani hapa kama zao la kimkakati .

 Aidha  wamesema  mafunzo hayo  yamekuja  muda muafaka ambapo wakulima wa zao la pamba walikata tamaa , na kuongeza  kuwa   wamepokea maelekezo ya serikali  na kuahidi kufuata utaratibu  na njia bora za kilimo cha pamba ambapo hapo awali walikuwa wakitumia kilimo cha Kienyeji  na kupelekea mavuno machache.

“ Tunaishukuru serikali inayoongozwa  na  Mama yetu mpendwa  Rais Samia  kumtuma Balozi wa zao la Pamba Nchini kufika kwenye maeneo yetu kuhamasisha kilimo cha pamba,  chenye tija  tutazingatia mafunzo haya maana hapo awali tulikua tunalima mashamba makubwa halafu tunapata mavuno kidogo’’ Ailiongeza  Elias Mkilya miongoni mwa wakulima wa zao la pamba.

Pamoja na hayo  wameiomba  serikali  kuwapa  pembejeo  kwa wakati ili waweze kujiandaa mapema na  kuleta mapinduzi  katika  uzalishaji  huku  wakiomba pindi mazao yatakapo kuwa tayari wawe  na uhakika wa soko ili wasikae na pamba kwa muda mrefu kwani wamelenga kujikwamua kiuchumi

Kampeni hii itaendelea kesho tar 04/10  katika Kata ya Ibaga wilayani Mkalama.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YAKABIDHI KADI ZA MATIBABU BURE KWA WAZEE MKALAMA

    June 15, 2025
  • SIKU YA MTOTO WA AFRIKA WILAYANI MKALAMA

    June 16, 2025
  • Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mkalama Apongeza Ujenzi wa Zahanati ya Nkenke

    June 13, 2025
  • ZIARA YA KAMATI YA SIASA MKOA WA SINGIDA

    June 11, 2025
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • eMrejesho -Tuma Malalamiko, Maoni au Pongezi
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA, 18 MASAKA RD, 43582

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964005

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@mkalamadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.