• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

WAJUMBE WA SERIKALI YA VIJIJINI HAKIKISHENI MNASIMAMIA MIRADI YA MAENDELEO IPASAVYO.

Imewekwa kwenye: November 8th, 2022

Wajumbe wa Halmashauri ya Serikali ya  vijiji vya Munguli, Ikolo na Endasiku wametakiwa kusimamia miradi yote inayotolewa na Serikali kwa niaba ya Wananchi na kuitambulisha kwao ili kuwajengea ufahamu wa nini kinaendelea katika maeneo yao.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama Bi. Asia  Messos ameyasema hayo leo tar 8/11 /2022  katika ziara yake ya kikazi  kwa Vijiji vya Munguli, Ikolo na Endasiku Kata ya Mwangeza wilayani Mkalama.

Aidha alieleza lengo la ziara yake kuwa ni kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa wilayani hapa pamoja na kujiridhisha fedha zinazochangwa na wananchi zimefanya shughuli iliyokusidiwa pamoja na gharama za miradi  kama zinaendana na fedha halisi.

Pamoja na hayo aliwataka Wajumbe wa Halmashauri ya Serikali ya vijiji kusimamia ukusanyaji  wa mapato pamoja na kuandaa taarifa ya mapato na matumizi ili kuweka  wazi kwa wananchi kwani wao ndio wamekuwa wachangiaji wa fedha za maendeleo katika maeneo yao.

‘’Ninakuagiza Mtendaji wa Kata kuwasimamia watendaji wa Vijiji pamoja na Wenyeviti wa Vijiji kuandaa taarifa ya mchanganuo wa makusanyo yote ya michango ya Wananchi na ninawaagiza kuhakikisha mnafanya vikao vya kisheria kwani huko ndiko mtatoa taarifa za mapato na matumizi yatokanayo na michango yaO’’ Aliongeza DED Messos.

Hata hivyo alimuagiza mtendaji wa Kata  kuhakikisha ndani ya miezi mitatu wanakamilisha Mradi wa ujenzi wa  Madarasa mawili ujulikanayo kama  Shule Madarasa Mawili (SM2) ili kuhakikisha changamoto ya madarasa inatatuliwa wilayani hapa na wanafunzi wasome bila usumbufu wa kukosa madarasa.

Mkuu wa Kitengo cha Sheria Wilayani Mkalama Bi Lilian Kasanga alitumia kikao hicho kuwataka wanaosimamia miradi ya ujenzi kuhakikisha wanakuwa na mikataba baina yao na Wakandarasi ili kuepusha usumbufu utakaojitokeza kabla ya kukamilisha kazi pamoja na  kuunda kamati ya ujenzi na Manunuzi ili kuhakikisha vifaa vyote vya ujenzi  vinanunuliwa na kusimamiwa na kamati husika.

Ziara hiyo ni Endelevu na kesho  tar 9/11 2022 itafanyika Kata ya Nkinto.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA MKALAMA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI

    April 24, 2025
  • WANAWAKE MKALAMA WAHIMIZWA KUGOMBEA NAFASI ZA UONGOZI

    March 06, 2025
  • DC MACHALI ATOA WITO WATU WA AFYA MKALAMA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    February 19, 2025
  • SEMINA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU WILAYANI MKALAMA

    February 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • eMrejesho -Tuma Malalamiko, Maoni au Pongezi
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA, 18 MASAKA RD, 43582

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964005

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@mkalamadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.