• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

VIONGOZI WA DINI MKALAMA WAASWA KUTOA ELIMU YA UCHAGUZI

Imewekwa kwenye: September 20th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Mkalama Mhe. Moses Machali amewataka viongozi wa dini wilayani hapa kutumia vyema nafasi zao kuelemisha wananchi kuhusu kujitokeza kwa wingi kushiriki uchaguzi wa Serikali za Mitaa pamoja na kuhubiri maadili mema nchini.


Wito huo ameutoa Septemba 20,2024 wakati wa kikao na viongozi wa dini mbalimbali wilayani hapa kwa ajili ya kujadili masuala yanayohusu mmonyoko wa maadili, suala la uzalendo, amani pamoja na ushiriki wa viongozi hao katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura

“Ningependa kutumia nafasi hii kuwataka mkawajuze waumini kuhusu kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakofanyika tarehe 27.11.2024 kwa amani na upendo. Tujitokeze kwa wingi katika kampeni, tujiandikishe kwenye daftari la Orodha ya wapiga Kura kuanzia Oktoba 11-20, 2024 lakini pia siku ya uchaguzi tuchague viongizi wetu kwa amani” Mhe. Machali

Vile vile Mhe. Moses Machali amewakumbusha viongozi hao wa dini kuhusu zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kutumia nafasi zao kuwaeleza wananchi ifikapo Septemba 25,2024 wajitokeze kuboresha taarifa zao kwa ajili ya uchaguzi mkuu kwa mwaka 2025 “Uboreshaji utafanyika kwa siku saba kuanzia Septemba 25- Oktoba 1,2024, hivyo tujikoze kwa wingi pia” Mhe. Machali 

Akizungumzia kuhusu suala la maadili pamoja na amani nchini, Mh. Moses Machali amesema viongozi wa dini wanajukumu kubwa katika kuhubiri amani pamoja na kulinda maadili ya jamii za kitanzania,“Twendeni tukahubiri amani na upendo kwa waumini wetu, nitashangaa siku nikisikia watu wa Mkalama wanagombana kwasababu ya dini, kila mmoja aheshimu imani ya mwenzake” Mhe. Machali


Kwa upande wake Mchungaji Manase Msengi, kutoka kanisa la KKT Ushirika wa Nduguti, ambaye amezungumza kwa niaba ya viongozi hao, amemshukuru na kumpongeza Mkuu wa wilaya ya Mkalama kwa kukutana na viongozi wa dini kwa ajili ya kujadili masuala ya maadili, uzalendo na amani hasa katika kipindi hiki uchaguzi wa Serikali za Mitaa na kuwataka wananchi wajitokeze kugombea nafasi mbalimbali za uongozi

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA MKALAMA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI

    April 24, 2025
  • WANAWAKE MKALAMA WAHIMIZWA KUGOMBEA NAFASI ZA UONGOZI

    March 06, 2025
  • DC MACHALI ATOA WITO WATU WA AFYA MKALAMA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    February 19, 2025
  • SEMINA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU WILAYANI MKALAMA

    February 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • eMrejesho -Tuma Malalamiko, Maoni au Pongezi
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA, 18 MASAKA RD, 43582

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964005

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@mkalamadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.