• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

VIONGOZI WA DINI MKADUMISHENI AMANI 'DC MACHALI'

Imewekwa kwenye: May 22nd, 2025

MKUU  wa Wilaya ya Mkalama Mhe. Moses Machali amekutana na viongozi wa dini, machifu pamoja na Maafisa Tarafa kuongea kuhusu kulinda mmomonyoko wa maadili katika jamii pamoja na kudumisha Amani na mshikamano, taifa linapoelekea katika uchaguzi Mkuu.


Kikao hicho kimefanyika Mei 22, 2025 katika ukumbi wa Sheketela uliopo Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama ambapo amewahimiza viongozi hao kuendelea kutoa elimu ya maadili katika jamii pamoja na kukemea vitendo vya ushoga na Usagaji ili kuwa na Taifa la watu wenye hofu ya Mungu.

‘’Nimewaita hapa viongozi wa dini zote na madhehebu yote, machifu , viongozi wa chama na Serikali, Maafisa Tarafa ili tuzungumze kuhusu maadili na malezi ya watoto katika jamii najua nyie mna sauti , nendeni mkapaze sauti zenu msikitini,kanisani na huko kwenye jamii kuhusu malezi ya watoto pamoja na kukemea vikali suala la ushoga’’ Amesisitiza Dc Machali.

Pamoja na hayo Mhe. Machali amewataka kudumisha Amani na utulivu kuelekea uchaguzi mkuu na kuongeza kuwa usalama wa Nchi ni muhimu kuliko kitu chochote hivyo kuwasihi kuhubiri amani nyakati zote.

Hata hivyo hakusita kusisitiza maadili kwa watumishi wa umma ambapo amewataka kuwa mfano wa kuingwa katika jamii kwakufuata misingi na maadili ya utumishi ili jamii ijifunze kupitia wao.


Leonard Mtua, Mchungaji wa Kanisa la TAG Iguguno, Miraji Ibrahimu Shekhe wa Wilaya ya Mkalama pamoja na Hamisi Omary Chifu kutoka Tarafa ya Kinyangiri wameahidi kuunga mkono  juhudi za serikali  kwa kulinda maadili katika jamii  na malezi ya watoto nakuongeza, kuhubiri Amani na utulivu wa Taifa nyakati zote.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YAKABIDHI KADI ZA MATIBABU BURE KWA WAZEE MKALAMA

    June 15, 2025
  • SIKU YA MTOTO WA AFRIKA WILAYANI MKALAMA

    June 16, 2025
  • Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mkalama Apongeza Ujenzi wa Zahanati ya Nkenke

    June 13, 2025
  • ZIARA YA KAMATI YA SIASA MKOA WA SINGIDA

    June 11, 2025
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • eMrejesho -Tuma Malalamiko, Maoni au Pongezi
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA, 18 MASAKA RD, 43582

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964005

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@mkalamadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.