• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

VIJANA WAASWA KUJIHADHARI NA MAAMBUKIZI MPYA YA VVU

Imewekwa kwenye: December 1st, 2022

Vijana wametakiwa kujitambua  na kuthamini Maisha  yao kwa kujikinga na maambukizi mapya ya VVU kwani ndio nguvu kazi ya Taifa.

Afisa Tarafa wa Tarafa ya Nduguti Bw. Remigius  Ngole ameyasema hayo mapema leo  katika maadhimisho ya Siku ya UKIMWI  Duniani alipo mwakilisha  Mkuu wa Wilaya ya Mkalama katika maadhimisho hayo yaliyofanyika katika Kijiji cha Gumanga Kata ya Gumanga Wilaya ya Mkalama.

‘’Vijana ni kundi linalokabiliwa na changamoto kubwa ya maambukizi mapya ya VVU Nchini na  takwimu za maambukizi mapya ya VVU  zinaonyesha  kwamba 40% ya  maambukizi yametokea kwa vijana na katika hao 80% ni vijana wa kike’’. Aliongeza Bw. Ngole

Hata hivyo aliongeza kuwa maambukizi mapya ya virusi vya UKIMWI miongoni mwa wanaume, Wanawake na Vijana wenye umri kati ya miaka 15-49 ni mkubwa .

Aidha aliongeza kwakusema Takwimu za mwaka 2022 kutoka January hadi Oktoba 2022 waliopimwa ni 17,273 ambapo Wanaume ni 6741 na Wanawake ni 10,532 kati yao 245 waligundulika kuwa na maambukizi ya VVU sawa na 1.4%, Wanaume walikuwa  78 sawa na 1.1% na Wanawake walikuwa 165 sawa na 1.5% huku Vijana wenye umri wa miaka 15-26 waliopimwa ni 1075 waliogundulika kuwa na maambukizi mapya ni 155 sawa na 1.4%.

Sanjari na hayo Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama Mhe. James Mkwega aliwataka wananchi kuwa na desturi ya kupima afya zao  wakibainika wana maambukizi waanze kutumia dawa mapema ili kufubaza virusi na kuchukua tahadhari ya kuambukiza wengine.

Kauli Mbiu ya Maadhimisho ya Mwaka huu ‘’MKALAMA BILA UKIMWI INAWEZEKANA, PIMA, JITAMBUE, ISHI, IMARISHA USAWA ‘’











Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YAKABIDHI KADI ZA MATIBABU BURE KWA WAZEE MKALAMA

    June 15, 2025
  • SIKU YA MTOTO WA AFRIKA WILAYANI MKALAMA

    June 16, 2025
  • Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mkalama Apongeza Ujenzi wa Zahanati ya Nkenke

    June 13, 2025
  • ZIARA YA KAMATI YA SIASA MKOA WA SINGIDA

    June 11, 2025
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • eMrejesho -Tuma Malalamiko, Maoni au Pongezi
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA, 18 MASAKA RD, 43582

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964005

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@mkalamadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.