• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

USALAMA WA WATOTO WILAYANI MKALAMA SIO SHWARI

Imewekwa kwenye: February 20th, 2023


Mkuu wa Wilaya ya Mkalama Mhe. Moses  Machali  amesema kuwa hali ya usalama wa Maisha ya Watoto wilayani Mkalama  sio shwari kutokana na Watoto  kukumbwa na vifo vitokanavyo na kutumbukia kwenye madimbwi na mashimo ya choo ambayo hayajafunikwa .


Mhe. Machali amesema hayo leo Februari 20, 2023 kwenye kikao kazi cha Waratibu wa Elimu Kata, Walimu wakuu wa Shule za Sekondari na Msingi, Watendaji wa Kata na Vijiji , Maafisa maendeleo ya jamii Pamoja na wakuu wa Idara na Vitengo kilichofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya wilaya ya Mkalama.

‘’Mashimo yanachimbwa yanaachwa wazi maji yanajaa na hii mvua inavyonyesha hivi majuzi kumetokea vifo vya namna hii, nilivyofanya uchunguzi wangu nikasikia wananchi wanasema wakifa watu wawili afadhali maana tumezoea kufa hata zaidi ya Watu  ishirini nilishangaa sana’’ Alisema  Mhe. Machali


Aidha Mhe. Machali aliwataka viongozi hao kuhakikisha wanalinda haki za Watoto na raia ikiwepo haki ya kuishi, kwa kuwataka watendaji wa Kijiji wakishirikiana na Watendaji wa Kata kutekeleza jukumu hilo kupitia elimu kwa wananchi waochimba mashimo kuhakikisha yanafunikwa ili kuzuia vifo vinavyoweza kuzuilika.


‘’kwa tafsiri hii baada ya kutoa maelekezo haya nitakaposikia kuna kifo chochote kinatokana na Shimo wewe Mtendaji nitaaza na wewe ninawapa kipindi cha wiki moja nendeni mkashughulikie suala hili  sitaki kusikia vifo vinavyotokana na uzembe’’ Alisisitiza Mhe. Machali


Pamoja na hayo  amewataka watendaji hao kuongeza juhudi na kasi kwenye kuhakikisha ulinzi wa mali na Raia kwani serikali iliwaamini na kuwapa nafasi hizo za uongozi.


Hata hivyo amewataka Watendaji hao kuwachukulia hatua kali za kisheria wananchi watakao kiuka  maelekezo yote aliyoyatoa leo .

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA MKALAMA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI

    April 24, 2025
  • WANAWAKE MKALAMA WAHIMIZWA KUGOMBEA NAFASI ZA UONGOZI

    March 06, 2025
  • DC MACHALI ATOA WITO WATU WA AFYA MKALAMA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    February 19, 2025
  • SEMINA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU WILAYANI MKALAMA

    February 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • eMrejesho -Tuma Malalamiko, Maoni au Pongezi
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA, 18 MASAKA RD, 43582

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964005

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@mkalamadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.