• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Tuwasaidie Wakoma- Masaka

Imewekwa kwenye: September 13th, 2017

Mkuu wa Wilaya ya Mkalama Mhe. Mhandisi Jackson Masaka jana alitoa msaada wa chakula na mavazi kwa wahanga wa ugonjwa wa ukoma maarufu kama ‘wakoma’ wanaoishi katika kijiji cha Iambi Wilayani Mkalama.

Msaada huo umetokana na jitihada za dhati za Mhe. Masaka za kutafuta wadau mbalimbali wa kuwasaidia wahanga hao  na unajumuisha magunia 18 ya mahindi na viroba vitatu vya nguo ambazo hazijachakaa.

“Shukrani zangu za dhati ziende kwa kanisa la EAGT, kanisa la Maranatha,kanisa la KKKT wanzelya lililopo hapa Nkungi  na watu binafsi ambao wametoa na wanaendelea kutoa  michango mbalimbali kwa ajili ya wahanga hawa” Alisema Mhe. Masaka.

Naye Mwenyekiti wa shirika lisilo la serikali linalowasimamia wahanga hao (CHADEREREKO) bw. Martin Nakomolwa  amemshukuru Mhe. Masaka kwa jitihada zake za dhati za kuwasaidia wahanga hao na kuongeza kuwa hakuna Mkuu wa Wilaya ambaye amewahi kusimamia kikamilifu jambo hilo zaidi yake.

“Wote hapa ni mashahidi kuwa wamepita wengi katika Wilaya hii lakini hakuna aliyewahi kuguswa na suala la wakoma kwa kweli Mungu aendelee kukudumisha katika Wilaya yetu” Aliongeza Nakomolwa.

Akimkaribisha Mkuu wa Wilaya, Diwani wa kata ya Ilunda Mhe. Mohamedi Imbele amesema kuwa ni vyema misaada hiyo ikatumiwa na walengwa ili kuweza kutimiza haja ya wote waliojitolea kuwasaidia wahanga hao.

“Lakini mimi pia ntakuwa mchoyo wa fadhila kama sitamshukuru Mhe. Mkuu wa Wilaya ya Mkalama kwa kazi nzuri anayoifanya katika Wilaya yetu hasa kupigania haki za wanyonge jambo ambalo ndio hasa muelekeo wa serikali ya awamu hii” Alimalizia Mhe. Imbele.

Wakati huo huo, Mkuu wa Wilaya ya Mkalama Mhe. Mhandisi Jackson Masaka alitumia nafasi hiyo kugawa vifaa mbalimbali kwa watu wawili wenye albinism ambapo jumla ya kofia za kujikinga na jua nne, Mafuta maalum ya ngozi, miwani pea nne iligawiwa kwa watu hao.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA MKALAMA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI

    April 24, 2025
  • WANAWAKE MKALAMA WAHIMIZWA KUGOMBEA NAFASI ZA UONGOZI

    March 06, 2025
  • DC MACHALI ATOA WITO WATU WA AFYA MKALAMA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    February 19, 2025
  • SEMINA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU WILAYANI MKALAMA

    February 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • eMrejesho -Tuma Malalamiko, Maoni au Pongezi
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA, 18 MASAKA RD, 43582

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964005

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@mkalamadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.