• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Tuiendeleze Mkalama kwa pamoja- Sanga

Imewekwa kwenye: May 29th, 2017

Umoja wa Wakazi wenye asili ya Wilaya ya Iramba na Mkalama (IDA) umetoa msaada wa jezi pea mbili kwa timu ya Wilaya ya Mkalama inayotarajia kushiriki  mashindano ya Umitashumta katika ngazi ya Mkoa.

Akizungumza wakati wa kupokea msaada huo Mkuu wa Wilaya ya Mkalama Mhe: Mhandisi Jackson Masaka  ambaye pia ndo alikuwa mgeni rasmi wa hafla hiyo fupi, aliwashukuru wajumbe wa umoja huo kwa uzalendo waliouonesha kwa timu hiyo na kuongeza kuwa si rahisi kwa watu walioondoka katika maeneo yao ya asili kukumbuka kupeleka misaada katika maeneo yao.


“Binafsi kwa kuteuliwa tu kuwa Mkuu wa Wilaya tayari nimeshakuwa mwanachama wa Umoja huu ndio maana nahakikisha Wilaya ya Mkalama inasonga mbele katika Nyanja zote” Alisema Masaka.

Naye Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama Mhandisi Godfrey Sanga ametoa rai kwa watu wengine kuiga mfano uliooneshwa na Umoja huo na kuongeza kuwa wamefanya jambo la kizalendo sana na linalopaswa kuenziwa.

“ Tunaomba msiishie hapa tu bali tuendelee kushirikiana katika kutatua kero mbalimbali za wananchi wa Mkalama” Aliongeza Sanga.


Naye Mwenyekiti wa Umoja huo Bw. Joseph Nsoza alisema kuwa amefarijika sana kwa jinsi Wilaya ya Mkalama ilivyopiga hatua hali ambayo ni tofauti kabisa na kipindi walipokuwa wanaondoka na kuupongeza uongozi wote wa Wilaya kwa kazi ngumu ya kuhakikisha Mkalama inazidi kuwa bora kila siku.

“ Wakati tunaondoka hapa nyumbani palikuwa nyuma sana kimaendeleo lakini leo hii tumekuja na kuikuta Mkalama yetu mpya kabisa na inayozidi kuendelea, tumefarijika sana kwa hili” Alisema Nsoza.

Nsoza alimaliza kwa kuahidi kuutumia umoja huo kushirikiana na Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama katika kutatua changamoto mbalimbali zinazowakabili wananchi wa Wilaya hiyo na kwamba malengo ya Umoja huo na ya Wilaya yanalingana.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA MKALAMA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI

    April 24, 2025
  • WANAWAKE MKALAMA WAHIMIZWA KUGOMBEA NAFASI ZA UONGOZI

    March 06, 2025
  • DC MACHALI ATOA WITO WATU WA AFYA MKALAMA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    February 19, 2025
  • SEMINA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU WILAYANI MKALAMA

    February 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • eMrejesho -Tuma Malalamiko, Maoni au Pongezi
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA, 18 MASAKA RD, 43582

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964005

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@mkalamadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.