• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

TSH 362,000,000 KUSAMBAZA MAJI SINGA NA MDILIKA

Imewekwa kwenye: March 11th, 2024


Mkuu wa wilaya ya Mkalama Mhe. Moses Machali leo Machi 11,2024 amefanya ziara ya kikazi katika Kijiji Cha Mdilika na Singa Kata ya Kinampundu kwa ajili ya kusikiliza na kutatua kero mbalimbali zinazowakabili wananchi wa vijiji hivyo.


Akizungumza kwa nyakati tofauti katika vijiji vya Singa na Mdilika, Mhe. Moses Machali amewaambia wananchi kuwa changamoto ya upatikanaji wa maji safi na salama inaenda kuwa historia kwani serikali tayari imeweka mpango wa kupeleka maji kwa mwaka wa fedha 2024/2025.

“Chini ya Rais Samia serikali imenunua magari na kuyasambaza mikoa yote Tanzania Bara, na mkoa wa Singida tumepokea gari hilo jipya. Gari hilo linafanya kazi ya kuchimba visima vijijini na mijini. Hivyo katika mwaka wa fedha 2024/2025 kufikia mwezi wa 12 naamini RUWASA watakuwa wamefanya jambo hapa”. Mh.Moses Machali.


Mbali na hilo Mkuu wa wilaya Mhe. Moses Machali amewataka wananchi kuwa mstari wa mbele katika kulinda na kutunza miundombinu ya miradi inayotekelezwa na serikali ili kuipa nguvu serikali kwa kuwaletea maendeleo mbalimbali.


Awali akijibu maswali kuhusu upatikanaji wa maji safi na salama, Meneja wa RUWASA wilaya ya Mkalama. Mhandisi Christopher Saguda  amesema jumla ya Tsh 362,000,000 zimetengwa kwa ajili ya kusambaza maji safi na salama kwa wananchi wa vijiji vya Singa na Mdilika.


“Katika mwaka wa fedha 2024/2025 serikali imetenga Tsh 212,000,000 kwa ajili ya kusambaza maji katika Kijiji cha Mdilika na pia serikali itapeleka Tsh 150,000,000 kwa ajili ya kusambaza maji safi na salama katika Kijiji cha Singa” Mhandisi Saguda.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA MKALAMA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI

    April 24, 2025
  • WANAWAKE MKALAMA WAHIMIZWA KUGOMBEA NAFASI ZA UONGOZI

    March 06, 2025
  • DC MACHALI ATOA WITO WATU WA AFYA MKALAMA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    February 19, 2025
  • SEMINA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU WILAYANI MKALAMA

    February 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • eMrejesho -Tuma Malalamiko, Maoni au Pongezi
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA, 18 MASAKA RD, 43582

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964005

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@mkalamadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.