• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

TANI 25 ZA MBEGU YA ALIZETI RECORD C1 YAPOKELEWA WILAYANI MKALAMA

Imewekwa kwenye: November 23rd, 2022


Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama imepokea Tani  Ishirini na Tano (25) ya Ruzuku ya Mbegu ya Alizeti aina ya  Record C1 kutoka  Serikalini itakayouzwa kwa bei  ya Shillingi Elfu Kumi (10,000) kwa mfuko mmoja wa kilogram mbili  kwa wakulima ili kuongeza uzalishaji wenye tija wa zao hilo Wilayani hapa.


Akiongea wakati akipokea Ruzuku hiyo Mkuu wa Wilaya ya Mkalama Mhe. Sophia Kizigo alisema kuwa Halmashauri imepokea Ruzuku hiyo kutoka kwa wadau wa kilimo ASA ambao waliahidi kutoa mbegu kwa wakulima.


‘’Ninawatangazia wakulima wa Wilaya ya Mkalama  kuwa leo tumepokea Tani Ishirini na tano (25) za Mbegu za alizeti niwashukuru wadau wa kilimo ASA kutimiza ahadi hii iliyokuwa  kiu ya wananchi kwa siku nyingi kupata mbegu iliyo bora’’ Alisema Mhe. Kizigo.


Aidha, aliongeza kuwa Wilaya ya Mkalama inatarajia kulima Hekta  Elfu Arobaini na Nane (48,000) za Alizeti ikiwa zitahitaji  takribani Tani 100 hivyo ametumia fursa hiyo kuwataka ASA kuwa tayari wakati wowote pindi watakapohitaji kuongeza mbegu hizo ili kutosheleza mahitaji ya wakulima.


Sambamba na hayo, Mhe. Kizigo aliiomba Serikali kuharakisha Ruzuku ya Mbolea kwani msimu wa Mvua umeanza na wakulima wanasubiri kwa hamu  kuhakikisha wanalima kilimo cha kisasa kitakachokuza pato lao binafsi na  uchumi Wilayani hapa.


Akitoa shukrani zake kwa Ruzuku ya Mbegu ya Alizeti, Mtendaji wa Kata ya Nduguti Bw. Waziri Waziri  aliishukuru Serikali kupitia wadau wa Kilimo ASA kutoa mbegu hizo ambazo zitawafikia Wakulima Wilayani Mkalama na kusema kuwa watahakikisha wanaunga Mkono Serikali kuzalisha zao hili kwa wingi kwani ni miongoni mwa Mazao ya kimkakati  Mkoani Singida.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA MKALAMA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI

    April 24, 2025
  • WANAWAKE MKALAMA WAHIMIZWA KUGOMBEA NAFASI ZA UONGOZI

    March 06, 2025
  • DC MACHALI ATOA WITO WATU WA AFYA MKALAMA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    February 19, 2025
  • SEMINA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU WILAYANI MKALAMA

    February 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • eMrejesho -Tuma Malalamiko, Maoni au Pongezi
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA, 18 MASAKA RD, 43582

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964005

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@mkalamadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.