• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Stadi za maisha ni muhimu kwa ukuaji na ustawi wa Watoto

Imewekwa kwenye: July 12th, 2022

Imeelezwa kuwa ufundishaji mahiri  unaozingatia  stadi za maisha ni tunu na nguzo muhimu  inayomwezesha mwanadamu  kujikomboa kifikra kupitia ujuzi ama maarifa   kwa lengo la kuendesha maisha yake.

Hayo yameelezwa na mdhibiti ubora wa shule  Wilaya ya Mkalama Adam Majid  kwenye ufunguzi wa mafunzo ya wa hojaji wa kujitolea watakaoenda kufanya kazi ya utafiti wa stadi za maisha kwa vijana wa miaka 13 hadi 17.


Bwana Majid amesema  kuna ushahidi unaonesha dhahiri  kwamba stadi za maisha zimekuwa na  matokokeo chanya  kitaaluma ikiwemo kuwasaidia vijana  kufahamu na kudhibiti hisia zao , kupanga na kufikia malengo chanya , kuhisi na kuonyesha huruma kwa wengine ,kufanya maamuzi sahihi.


Pamoja na hayo aliwataka vijana hao kuwa waaminifu  na kufanya kazi kwa weledi na kuwa mabalozi wazuri  kuendana na mazingira pamoja na tamaduni za jamii  husika Ili kupata utafiti mzuri wa namna vijana hao wanavyoishi na kushiriki katika shughuli mbalimbali za kimaendeleo pamoja na kutatua matatizo yao binafsi  na ya wengine.


Nae  Mratibu wa utafiti  na upimaji wa stadi za maisha Wilaya ya Mkalama  Issa Mtaki amesema zoezi la upimaji wa stadi  maisha na Tunu  linafanyika kwa umakini mkubwa katika  Nchi za Kenya ,Uganda  na Tanzania na Kwa Tanzania wilaya 34  ikiwemo wilaya ya Mkalama .


"Zoezi hili limepewa Baraka zote kutoka Kwa viongozi wakubwa na wametupa ushirikiano Mkubwa , zoezi  hili linaenda kulenga zaidi kuwapima watoto hasa katika mchakato wa ujifunzaji wa maisha hasa Katika  maisha na mazingira yao au shule kwahiyo tukiangalia watoto wenye umri wa miaka 13 hadi 17  ni watoto ambao either wapo shule au nyumbani kwahiyo tunaenda kujua wamepata stadi gani au masuala Gani ya tunu tunayokusudia vijana wetu wapate". Aliongeza Bwana Mtaki.


Pamoja na  hayo aliwashukuru mashirika wadau wanaoteleleza mradi huu ambayo aliwataja Milele Zanzibar Foundation , Uwezo Tanzania  pamoja na shirika la Mkalama Paralegal  ambalo pia linatoa msaada wa kisheria wilayani hapa.


Patrick Immanuel pamoja na Beatrice Mpazi washiriki wa mafunzo hayo wameshukuru kuwa miongoni mwa washiriki ,wamesema watafanya kazi hiyo Kwa uaminifu na wanaamini fursa hii  italeta mabadiliko chanya katika maisha hivyo kuwataka jamii kupokea fursa hii Ili watoto waweze kujitegemea wenyewe na kuleta mapinduzi ya kiuchumi ndani ya familia ,Jamii na Taifa Kwa ujumla.

Tangu mwaka 2005 Tanzania ilianzisha mchakato wa kutengeneza Mtaala wa ufundishaji  mahiri kwa elimu ya sekondari na mwaka 2007  kwa upande wa elimu ya msingi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA MKALAMA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI

    April 24, 2025
  • WANAWAKE MKALAMA WAHIMIZWA KUGOMBEA NAFASI ZA UONGOZI

    March 06, 2025
  • DC MACHALI ATOA WITO WATU WA AFYA MKALAMA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    February 19, 2025
  • SEMINA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU WILAYANI MKALAMA

    February 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • eMrejesho -Tuma Malalamiko, Maoni au Pongezi
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA, 18 MASAKA RD, 43582

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964005

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@mkalamadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.