• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Serikali kuweka Mazingira mazuri kwa wanafunzi waweze kupata elimu na kutimiza ndoto zao

Imewekwa kwenye: February 26th, 2022

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama Asia Messos amesema kuwa Serikali inaendelea kuboresha mazingira ya elimu kwa kujenga Madarasa ya kutosha kwa nchi nzima Ili kuhakikisha wanafunzi wakiume na wakike wanapata elimu iliyo bora kwa masilahi mapana ya nchi.


Amesema hayo wakati akijibu swali la Diwani wa viti Maalumu Frolence Misaiy alipotaka kujua "Je, ni lini Serikali itajenga Daharia (Bweni) kwa Shule zote za Sekondari ili kuepuka mimba kwa watoto wa kike wanaotembea umbali mrefu kwenda shule na kukutana na vishawishi njiani?"


Aidha, aliishukuru Serikali kwa kujenga Shule nyingi kutokana na  fedha za Mpango wa Maendeleo ya Taifa na mapambano ya Uviko 19 na kuongeza kuwa changamoto ya Madarasa sasa imepungua hivyo kwa fedha zingine zinazotolewa na Serikali watafanya mpango wa kuendelea kujenga Daharia kwa Shule ili kuwezesha wanafunzi wa kike  kusoma bila vishawishi na kutimiza ndoto zao.


Afisa elimu taaluma Sekondari Wilaya ya Mkalama Stephen Ludovick amesema kuwa  wanaendelea kuwafuatilia wanafunzi waliokatisha masomo yao kutokana na mimba hadi sasa ni wanafunzi nane (8) wamerudi Shule kwa hiari yao na zoezi hilo ni endelevu ili kuwabaini wanafunzi wote waliokatisha masomo yao ili waweze kurudi na  kufikia malengo yao ya kupata elimu.


Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama James Nkwega aliwasisitiza wataalamu wote kila mmoja Kwa nafasi yake kuhakikisha wanatimiza majukumu yao ili kuharakisha Maendeleo ya Wilaya ya Mkalama .


Katika hatua nyingine Mbunge wa Jimbo la Iramba Mashariki  Francis Isack amesema kuwa akiwa kama mwakilishi wa wananchi atahakikisha anasimamia na kusemea bungeni mambo mbalimbali ikiwepo kuomba  ajira kwa Walimu ili kuhakikisha Wilaya ya Mkalama inakua na Walimu wa kutosha na kuongeza ufaulu kwa Wanafunzi Wilayani hapa huku akiomba kusitishwa kwa uhamisho kwa Walimu Wakuu wanaofaulisha vizuri Wanafunzi Ili kuendeleza ufaulu mzuri katika shule hizo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA MKALAMA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI

    April 24, 2025
  • WANAWAKE MKALAMA WAHIMIZWA KUGOMBEA NAFASI ZA UONGOZI

    March 06, 2025
  • DC MACHALI ATOA WITO WATU WA AFYA MKALAMA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    February 19, 2025
  • SEMINA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU WILAYANI MKALAMA

    February 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • eMrejesho -Tuma Malalamiko, Maoni au Pongezi
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA, 18 MASAKA RD, 43582

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964005

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@mkalamadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.