• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Rc Singida awataka viongozi wa dini na serikali wahamasishe zoezi la Sensa

Imewekwa kwenye: September 18th, 2021


 

Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt Binilith Mahenge amewapongeza wananchi wa Kitongoji cha Gajaroda wilaya ya  Mkalama kwa kuendelea kuwapa  makarani wa sensa ya majaribio Ushirikiano katika kutekeza majukumu yao  na kufanikisha zoezi hilo kwa 90%.


Ameyasema hayo Mapema leo katika ziara yake ya kikazi ya kutembelea na kujionea namna zoezi la Sensa ya Majaribio  linavyoendelea  katika Kitongoji cha Gajaroda Kijiji cha Dominiki Kata ya Mwangeza  wilaya ya Mkalama Mkoani Singida .


Aidha Dkt Mahenge amesema kuwa lengo la serikali ni kuwa na takwimu sahihi za wakazi wa maeneo husika ikijumuiya takwimu za watu , Makazi yao ,Mifugo pamoja na mali wanazomiliki ili kurahisisha mipango ya serikali pamoja na vipaumbele kwa kila eneo.

Katika hatua nyingine amewataka Viongozi mbalimbali kila mtu kwa nafasi yake kuhamasisha wananchi juu ya umuhimu wa Sensa  na kulipokea zoezi hilo kama fursa kwao kwa maendeleo yao na kwa Mkoa kwaujumla.


‘’lengo kubwa ni kuisaidia serikali kuwa na taarifa kamili ni nini kinafanyika kwenye maeneo yao na watu wanaoishi kule wanajishughulisha na nini itasaidia serikali kuwaingiza kwenye mipango ya maendeleo,pia tunapojua idadi ya Watoto au watu inaisaidia serikali kujua kuwa wapeleke huduma gani kwahiyo  wananchi wakijitokeza kwa wingi ndio watakula keki kubwa yaTaifa’’ Ameongeza Dkt Mahenge RC Singida.


Awali akimkaribisha Mkuu wa Mkoa ,Mkuu wa wilaya ya Mkalama Mhe.Sophia Kizigo amesema kuwa wananchi wamepokea zoezi hilo vizuri kwani  walipewa hamasa kutoka  kwa Kamisaa wa Sensa kitaifa Mhe.Anna Makinda huku akiomba kutatuliwa changamoto zilizojitokeza katika zoezi la Sensa ya  majaribio  ikiwa ni pamoja na uchache wa makarani pamoja na kuongeza siku   kwaajili ya kuhoji Dodoso kuu la Sensa kutokana na umbali uliopo kutoka kaya moja hadi nyingine.


Elifrida Yunde ambaye ni karani wa zoezi la Sensa  ya Majaribio Kitongoji cha  Gajaroda amesema kuwa anawashukuru wananchi kwa usirikiano wanaoutoa kwao huku akiongeza kuwa pamoja na changamoto wanazozipata mpaka sasa zoezi hilo limefanikiwa kwa  90% ambapo pia ameiomba serikali kuboresha Dodoso kwa Sensa ya wat una Makazi ya mwaka 2022 kutokana na Dodoso la majaribio kuwa refu.


 Baraka Joseph na Hilda Amsii ni miongoni mwa wananchi wa kitongoji  cha Gajaroda ,wamesema kuwa sensa hii ya majaribio imeonyesha taswira nzuri ya Sensa ya mwaka 2022 ambapo wameahidi kutoa ushirikiano wakutosha kwa serikali pamoja  na kuahidi kuwa mabalozi wazuri kwa wengine ambao hawajawa na mwamko kuhusu zoezi hili  ili serikali iweze kupeleka huduma muhimu kama kama vile maji,umeme,Hospitali pamoja na shule.


Zoezi la Sensa ya majaribio lilianza Semptember 8 mwaka huu na linatarajiwa kukamilika September 19 mwaka huu .

Kauli mbiu ikiwa ni ‘’SENSA KWA MAENDELEO JIANDAE KUHESABIWA’’

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA MKALAMA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI

    April 24, 2025
  • WANAWAKE MKALAMA WAHIMIZWA KUGOMBEA NAFASI ZA UONGOZI

    March 06, 2025
  • DC MACHALI ATOA WITO WATU WA AFYA MKALAMA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    February 19, 2025
  • SEMINA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU WILAYANI MKALAMA

    February 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • eMrejesho -Tuma Malalamiko, Maoni au Pongezi
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA, 18 MASAKA RD, 43582

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964005

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@mkalamadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.