• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

OR TAMISEMI YATOA MAFUNZO YA MFUMO WA USIMAMIZI WA MIKOPO HALMASHAURI YA MKALAMA

Imewekwa kwenye: June 14th, 2022


Katika kuongeza umakini  wa  usimamizi wa mikopo kwa halmashauri  zote Nchini  Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa  (OR TAMISEMI)  imesanifu  mfumo wa Kieletroniki ambao utawezesha  usimamizi  wa mikopo unaotokana na asilimi kumi  (10%)  na kuongeza  udhibiti  katika ushughulikiaji   wa maombi ya mikopo , usimamizi wa vikundi , marejesho ya mikopo na utoaji  wa taaarifa mbalimbli.


Kaimu Mkurungezi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama  Abdalla Njelu alisema  hayo wakati akifungua kikao  kazi  cha mfumo wa kielekitroniki ngazii ya wilaya ya siku mbili yaliyoanza leo  Juni 14,  hadi juni 16 mwaka huu.


Njelu  alisema  mfumo huo hautabadili utaratibu uliopo kwa mujibu wa sheria  bali unaongeza umakini  katika usimamizi wa mikopo kwa  kubaini watumishi wasio waadilifu kuchukua mikopo  kupitia mgogo wa kikundi, usimamizi  usioridhisha  wa mikopo inayotolewa  , mtu mmoja kukopeshwa zaidi ya mara moja  pamoja na marejesho kutorejeshwa  kwa wakati na hakuna mkakati wa kusimamia vikundi visivyorejesha  kwa wakati.


‘’Ili kuleta ufanisi wa usimamizi wa mikopo hii julai 2018 serikali ilifanya marekebisho ya  sheria za fedha za serikali  za mitaa  sura 250 kwa kuongeza kifungu 37A  ambachokimeeleza utaratibu wa utengaji ,utoaji  na usimamizi wa mikopo mwaka 2019 OR TAMISEMI  iliandaa kanuni za utoaji na usimamizi  wa mikopo kwa makundi ya wanawake  vijana na watu wenye ulemavu kwa lengo lakufafanua utekelezaji wa sheria hiyo aidha mwezi  februari 2021 kanuni hizo zilifanyiwa marekebisho’’ alisema Njelu.


Awali akizungumza kwenye mafunzo hayo Afisa Maendeleo ya Jamii Wilaya ya Mkalama,  Mohmed Atiki alisema mfumo huo wa kielekitroniki ujulikanao kama (Ten Percent Loan Management Information System )  utarahisisha utendaji kazi na ufuatiliaji  pia kuongeza  umakini  katika kufuatilia vikundi vyote na kutoa mafunzo kwa maafisa maendeleo ngazi ya kata hadi kwa vikundi  na wanatarajia kutoa mafunzo  hayo ngazi ya vitongoji.


Pamoja na hayo alisema mfumo huo  utabaini vikundi hewa  pamoja na mianya yote ya ubadhilifu na kuondoa changamoto zilizokuwa zikijitokeza hapo awali ikiwa ni pamoja na baadhi ya viongozi wasio waadilifu kutumia vikundi hivyo kwa masilahi yao binafsi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA MKALAMA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI

    April 24, 2025
  • WANAWAKE MKALAMA WAHIMIZWA KUGOMBEA NAFASI ZA UONGOZI

    March 06, 2025
  • DC MACHALI ATOA WITO WATU WA AFYA MKALAMA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    February 19, 2025
  • SEMINA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU WILAYANI MKALAMA

    February 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • eMrejesho -Tuma Malalamiko, Maoni au Pongezi
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA, 18 MASAKA RD, 43582

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964005

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@mkalamadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.