• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Ni lazima tuwatangazie wakulima yalipo masoko- Masaka

Imewekwa kwenye: August 6th, 2018

Mkuu wa Wilaya ya Mkalama Mhe. Mhandisi Jackson Masaka leo alikuwa mgeni rasmi katika manesho ya 22 ya sikukuu ya Wakulima na Wafugaji (nanenane) kanda ya kati ambapo alitembelea mabanda mbalimbali yaliyopo katika viwanja vya maonesho hayo jijini Dodoma.

Ziara hiyo ya Mhe. Masaka ilianzia katika banda la Ofisi ya Rais-TAMISEMI ambapo aliishauri wizara hiyo kufanya matumizi mbadala ya jengo lao walilolijenga kwa ajili ya  maonesho ya Nane nane badala ya kuliacha wazi huku likisubiri siku ambayo maadhimisho ya kitaifa yatafanyikia jijini Dodoma.

“Kuna taasisi mbalimbali zinapenda kushiriki maonesho haya lakini zimekosa maeneo ya kuweka bidhaa zao, mnaweza kuwapa jengo hilo au mnaweza hata kufikiria kuweka maonesho ya utamaduni ili wananchi waweze kufahamu kwa kina tamaduni za kitanzania kwa sababu kuliacha bila matumizi yoyote kama mnavyofanya hivi sasa ni kupoteza fedha za serikali ilizowekeza wakati wa kulijenga” Alisisitiza Mhe. Masaka.

Baada ya kutoka katika banda la TAMISEMI Mhe. Masaka alielekea katika banda la wataalam wa ufugaji wa kisasa wa kuku wanaojulikana kama ‘’Silverland’’ ambapo akiwa hapo aliwashauri wataalam hao kuhakikisha elimu inayohusu ufugaji wa kuku ifike mpaka kwa wafugaji wadogo badala ya kuishia kwenye maonesho ya Nanenane.

Mhe. Masaka ambaye katika ziara hiyo aliongozana na viongozi wengine waandamizi wa Mkoa wa Dodoma na Wizara ya Kilimo alifika pia  katika banda la Mamlaka ya Maendeleo ya biashara (TANTRADE)  ambapo akiwa hapo aliisisitiza mamlaka hiyo kuhakikisha inatoa matangazo kwa wakulima juu ya masoko ya bidhaa mbalimbali wanazozalisha.

“Sasa hivi wakulima wanalima lakini wengi hawajui masoko ya mazao wanayolima yako wapi matokeo yake wanajikuta wanalima kilimo kisicho na tija hivyo ninawashauri mtengeneze utaratibu mzuri wa kuwajulisha wakulima kuhusu aina ya mazao yanayohitajika sokoni na mahali yanapohitajika mazao hayo’’ Aliongeza Mhe. Masaka.

Mbali na mabanda hayo Mhe. Masaka pia alitembelea Mamlaka ya Uhamiaji, benki ya CRDB, halmashauri za wilaya za Mkalama na Chamwino, AGRICOM na Polymachinery, Sido na Benki kuu ya Tanzania (BOT).

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA MKALAMA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI

    April 24, 2025
  • WANAWAKE MKALAMA WAHIMIZWA KUGOMBEA NAFASI ZA UONGOZI

    March 06, 2025
  • DC MACHALI ATOA WITO WATU WA AFYA MKALAMA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    February 19, 2025
  • SEMINA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU WILAYANI MKALAMA

    February 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • eMrejesho -Tuma Malalamiko, Maoni au Pongezi
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA, 18 MASAKA RD, 43582

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964005

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@mkalamadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.