• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

MNATAKIWA KUJUA HAKI ZENU ZA MSINGI, KUELEWA MAHALA SAHIHI PA KUWASILISHA CHANGAMOTO ZENU' WAKILI MAKENDI'

Imewekwa kwenye: January 17th, 2024


Jamii imetakiwa kujua na kuelewa  haki zao za Msingi Ili  kuepuka  migogoro inayoweza kujitokeza kwa kukosa uelewa wa   mahala sahihi katika kuwasilisha changamoto zao  na kupatiwa msaada wa masuala mbalimbali ikiwemo migogoro ya Ardhi, Ndoa pamoja na haki zingine kama  vile ya kuishi na kuheshimiwa katika kutoa mawazo.


Hayo yamesemwa  Januari 17 , 2024 na Wakili wa Serikali wa  Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama, Daud Makendi katika Mkutano wa hadharani wa Wananchi wa vijiji vya Malaja Kata ya Nkalakala, na Mazangili Kata ya Nkinto, katika Kampeni ya msaada wa kisheria ya Mama Samia Suluhu ( Mama Samia Legal Aid Campaign).


Aidha, amewataka Wananchi kuacha kujichukulia Sheria mkononi kama njia ya kupata Suluhu kwao kwani kwa kufanya hivyo itapelekea wao kupoteza haki za Msingi na kukosa haki aliyostahili kuipata.

Pia  Wakili,  Makendi amewaeleza Wananchi hao Mamlaka za utatuzi wa migogoro ya Ardhi kuwa ni Baraza la Ardhi la Kata, Baraza la Ardhi na Nyumba Wilaya, Mahakama Kuu na Mahakama ya Rufaa.

Pamoja na hayo Wakili Makendi aliwataka Wananchi  kuandika Wosia ili kuwasaidia wanaobakia kuendelea kutumia Mali alizoziacha muhusika na kuepusha migogoro ya kunyang'anywa Mali na watu wasiokuwa warithi.


" Msiogope kuandika wosia , kwa kudhani mnajichuria kifo" Alisisitiza 


Sanjari na hayo amesisitiza kuwa faida za kuandika Wosia ni kuwapa haki wanaostahili kupata mgawanyo wa Mali ulizonazo ambapo ameongeza kwa kusema kuwa  kwa mujibu wa Sheria wanaoruhusiwa kurithi Mali hizo ni wahusika wa familia ambao ni Mjane/ Mgane pamoja na watoto 


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA MKALAMA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI

    April 24, 2025
  • WANAWAKE MKALAMA WAHIMIZWA KUGOMBEA NAFASI ZA UONGOZI

    March 06, 2025
  • DC MACHALI ATOA WITO WATU WA AFYA MKALAMA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    February 19, 2025
  • SEMINA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU WILAYANI MKALAMA

    February 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • eMrejesho -Tuma Malalamiko, Maoni au Pongezi
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA, 18 MASAKA RD, 43582

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964005

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@mkalamadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.