• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Mkalama ni lazima iwe moja ya wazalishaji wakubwa ndani ya Dodoma-Nchimbi

Imewekwa kwenye: August 5th, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Singida Mhe. Daktari Rehema Nchimbi jioni hii ametembelea banda la bidhaa mbalimbali na  maeneo ya maonesho ya Nane nane ya Wilaya ya Mkalama ambapo ameupongeza uongozi wa Wilaya hiyo kwa kuboresha banda na maeneo yote yenye bidhaa mbalimbali zinazozalishwa na wakulima na wafugaji wa Wilaya ya Mkalama.

Katika ziara hiyo Mhe. Nchimbi ameuagiza uongozi wa Wilaya ya Mkalama kuhakikisha maeneo hayo yanaendelea kuzalisha hata mara baada ya maonesho ya Nanenane kumalizika ili hatimaye  Mkalama iwe ni moja ya wilaya inayozalisha bidhaa za kutosha ndani ya Mkoa wa Dodoma.

“Pia sehemu ya eneo lililobaki wapeni wakulima wa Mkalama ili waweze kuzalisha mazao yao misimu yote kisha mnaweza kuweka utaratibu wa kugawana asilimia kadhaa ya mapato yanayopatikana kutokana na mavuno ya mazao hayo’’ Ameongeza Mhe. Nchimbi.

Mhe. Nchimbi amebainisha kuwa kufanya hivyo kutaifanya Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama iwe imetekeleza sera ya kupeleka vijijini asilimia 10 za wanawake na vijana kwa vitendo ambapo itakuwa ina kiashiria kinachoonekana cha utekelezaji wa sera hiyo.

‘’Pia niwakumbushe viongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama kuwa wakulima wameshatimiza wajibu wao kwa kulima mazao na kuyasindika katika bidhaa tofauti hivyo ni wajibu wenu kuhakikisha mnawatafutia soko la bidhaa hivyo na kufanya hivyo sio tu kutawanufaisha wakulima bali kutasaidia kuongeza mapato ya Halmashauri yenu’’ Amesisitiza Mhe. Nchimbi.

Katika kuwaunga mkono wajasiriamali wa bidhaa za kilimo wilayani Mkalama, Mhe. Nchimbi alinunua bidhaa zenye thamani ya shilingi elfu 58 aliowakuta katika banda hilo la maonesho.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA MKALAMA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI

    April 24, 2025
  • WANAWAKE MKALAMA WAHIMIZWA KUGOMBEA NAFASI ZA UONGOZI

    March 06, 2025
  • DC MACHALI ATOA WITO WATU WA AFYA MKALAMA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    February 19, 2025
  • SEMINA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU WILAYANI MKALAMA

    February 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • eMrejesho -Tuma Malalamiko, Maoni au Pongezi
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA, 18 MASAKA RD, 43582

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964005

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@mkalamadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.