• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

MKAFANYE KAZI KWA BIDII' DC MACHALI

Imewekwa kwenye: July 29th, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Mkalama,  Mhe. Moses Machali ametaka watumishi wapya waliopangiwa na Serikali Wilayani Mkalama kufanya kazi kwa bidii na kujiamini ili kumwakilisha vyema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.  Samia Suluhu Hassani kuwaamini na kuwapa dhamana ya kuwatumikia wananchi.


Ameyasema hayo  (Julai 29 2023) wakati  akiongea na watumishi hao katika hafla  maalumu ya kuwakaribisha watumishi wapya wa kada mbalimbali iliyofanyika katika ukumbi wa Sheketela Wilayani Mkalama.


Mhe. Machali aliwataka watumishi hao wapya kuwa mfano kwa wengine na kuwa waaminifu katika kazi yao ya kuwatumikia wananchi, pia  kuwataka kujiepusha na vitendo viovu vinavyoharibu taswira yao pamoja na Taasisi wazozitumikia.


‘’Nendeni mkafanye kazi ,serikali inawategemea na kuwaamini nendeni mkailipe Imani serikali yenu na kuilipa kwenu ni ninyi kufanya kazi kwa bidi alisisiza’’ Mhe. Machali

Awali akimkaribisha Mkuu wa Wilaya Katibu Tawala Wilaya ya Mkalama Mhe. Peter Masindi aliwapongeza watumishi wapya kupata nafasi ya kutumikia Wilaya ya Mkalama ambapo aliwasihi kuzitendea haki nafasi hizo kwakufanya kazi zenye kiwango na ubora .


‘’Leo hii mmepata nafasi mkiwa na umri mzuri kabisa na hapa mmeanzisha safari ya kuelekea kustaafu , mnatakiwa kuonyesha mlichonacho na kutumia muda wenu vizuri kwakufanya mambo makubwa na yenye ubora’’. Aliongeza Mhe. Masindi

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama,  Bi. Asia Messos amesema kuwa Halmashauri ilipata kibali cha kuajiri watumishi 145 lakini hadi kufikia leo watumishi 139 wameripoti na wanaendelea na majukumu yao kama kawaida huku akiwataka kufanya kazi kwa bidii na kutekeleza majukumu waliyopangiwa kutokana na kuwa kuna watumishi wengi wapo mtaani walitamani nafasi hizo lakini wakapatiwa wao.

Hafla hiyo imehudhuriwa na watu mbalimbali ikiwa ni pamoja na Wakuu wa Idara na vitengo, Wakuu wa Taasisi za Kifedha ,Benki ya NMB ,NBC,CRDB pamoja na viongozi wa vyama vya wafanyakazi ambavyo ni TALGWU,TUKUTA na CWT ambao wote kwapamoja waliwasilisha mada kuhusu haki na wajibu wa mtumishi pamoja na nidhamu ya fedha .

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA MKALAMA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI

    April 24, 2025
  • WANAWAKE MKALAMA WAHIMIZWA KUGOMBEA NAFASI ZA UONGOZI

    March 06, 2025
  • DC MACHALI ATOA WITO WATU WA AFYA MKALAMA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    February 19, 2025
  • SEMINA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU WILAYANI MKALAMA

    February 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • eMrejesho -Tuma Malalamiko, Maoni au Pongezi
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA, 18 MASAKA RD, 43582

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964005

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@mkalamadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.